Simba SC v Young Africans SC

Makoye Matale

JF-Expert Member
May 2, 2011
6,491
2,104
Leo ni siku nyingine katika historia ya Yanga na Simba. Yanga iliandika historia ya kuitandika Simba goli 5-0 hapo tar. 01/06/1968. Simba ilijibu mapigo kwa kuicharaza Yanga 6-0 tar. 19/07/1977. Simba ililipa kichapo cha 5-0 cha mwaka 1968 tar. 06/05/2012. Hadi sasa Yanga haijalipa kichapo cha 6-0 cha 1977. Je, Yanga itaifunga Simba 6-0 leo?

(Data frm Bin ZUBEIRY).
 
Leo ni siku nyingine katika historia ya Yanga na Simba. Yanga iliandika historia ya kuitandika Simba goli 5-0 hapo tar. 01/06/1968. Simba ilijibu mapigo kwa kuicharaza Yanga 6-0 tar. 19/07/1977. Simba ililipa kichapo cha 5-0 cha mwaka 1968 tar. 06/05/2012. Hadi sasa Yanga haijalipa kichapo cha 6-0 cha 1977. Je, Yanga itaifunga Simba 6-0 leo?

(Data frm Bin ZUBEIRY).

Leo tumemuomba Mungu itokee hivyo, tutakuwa pamoja saa 10 kufatilia mtanange
 
Kwanza mie ni shabiki mnazi wa Young African Sports Club.

Pili nauliza, je mtanange huo utarushwa 'live' luningani? Channel ipi imechukua haki za mpambano huo kuonyeshwa 'live' ?
 
Lefa Martin Saanya.

Muda 10:00

VIKOSI.
Simba Sc:

1.Juma Kaseja
2.Nassor Masoud 'Cholo'
3.Miraj Adam'Ashley Cole'
4.Mussa Mudde
5.Shomary Kapombe
6.Jonas Mkude
7.Mrisha Ngassa'mtoto wa nyumbani'
8.Mwinyi Kazimoto
9.Ramadhani Sengano'messi'
10.Amri Kiemba
11.Haruna Chanongo
Sub:
1.Abed Dhaira.
2.William Lucian'Gallas'
3.Hassani Hatibu
4.Rashid Ismail'Chid boy'
5.Edward Christopher
6.Felix Sunzu.
Coach:patrick Lewing(France)
Mfumo 4-4-2/4-3-3.

Yanga Sc:

1.Ally Mustafa'Batherz'
2.Mbuyu Twite'B52'
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub'Cannavaro'
5.Kelvin Yongani'Engineer'
6.Athuma Iddi'Chuji'
7.Simon Msuva
8.Frank Domayo
9.Didier Kavumbagu
10.Hamisi Kiiza
11.Haruna Niyonzima'Fabrigas'
Sub:
1.Said Mohamed
2.Shadrack Nsajigwa
3.Nizar Khalfan
4.Omega Seme
5.Jerry Tegete
6.Said Bahanuzi
7.Daud Luhende.
Coach:Ernie Brandts.
Mfumo:4-3-3/4-3-2-1.
 
Kauli za kila upende.
Simba:Tutaweka jongoo kwenye pilau lenu.
Yanga:Tutawapiga 6.0 ili mkasubili maonyesho ya 7x7.
 
lefa martin saanya.

Muda 10:00

vikosi.
Simba sc:

1.juma kaseja
2.nassor masoud 'cholo'
3.miraj adam'ashley cole'
4.mussa mudde
5.shomary kapombe
6.jonas mkude
7.mrisha ngassa'mtoto wa nyumbani'
8.mwinyi kazimoto
9.ramadhani sengano'messi'
10.amri kiemba
11.haruna chanongo
sub:
1.abed dhaira.
2.william lucian'gallas'
3.hassani hatibu
4.rashid ismail'chid boy'
5.edward christopher
6.felix sunzu.
Coach:patrick lewing(france)
mfumo 4-4-2/4-3-3.

yanga sc:

1.ally mustafa'batherz'
2.mbuyu twite'b52'
3.oscar joshua
4.nadir haroub'cannavaro'
5.kelvin yongani'engineer'
6.athuma iddi'chuji'
7.simon msuva
8.frank domayo
9.didier kavumbagu
10.hamisi kiiza
11.haruna niyonzima'fabrigas'
sub:
1.said mohamed
2.shadrack nsajigwa
3.nizar khalfan
4.omega seme
5.jerry tegete
6.said bahanuzi
7.daud luhende.
Coach:ernie brandts.
Mfumo:4-3-3/4-3-2-1.

utarushwa kideon?
 
Huyo ngasa bora wasimchezeshe itakuwa 12 kwa 10 leo baada ya mechi rasmi atavua jezi ya libolo na kuvaa ya nyumbani
 
....hii mechi ya leo, itakua ni ya kihistoria kwa upande wa TFF kwani ni mara kwanza kujua imeigiza kiasa kwa maana ya mapato ya mlangoni kabla ya mechi haijaanza: hii ni kutokana na kwamba Tiketi zote zilizoandaliwa kwa Idadi ya viti vilvyoko uwanjani zote ziliisha toka jana hivyo kama ni mapato kwa TFF tayari yameishaingia. Kila la heri SIMBA kila la heri YANGA.
 
Back
Top Bottom