This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,903
- 4,979
Ndio kwan vpKwaliti?
Ndio kwan vpKwaliti?
Kwa hiyo msimu huu mna official jezi zenye kwaliti pair 6Ndio kwan vp
Acha kukariri kila anayekosoa ni wa upande wa pili wa timu pinzani, CAF kwenye inahusikaje?
Hiyo jezi nyeupe yenye rangi nyekundu mbele hawawezi cheza na timu kama Al Ahly inayotumia jezi nuekundu
Timu mwenyeji anavaa jezi yake aliyoipanga kuitumia akiwa home. ila timu ngeni ndio itakayoamua kuvaa jezi namba tatu ikiwa jezi zake zote mbili zinafanana na timu mwenyeji.Kwa hiyo kumbe upande wa pili mnajikubali kweli kuwa ni utopolo!?
Halafu inaonekana wewe ni kilaza sana, rudia kusoma nilichoandika ukielewe! Kama huwezi kuelewa muonyeshe jirani yako mwenye uelewa mkubwa zaidi yako akueleweshe ili pia ujue CAF nao wanahusika vipi na masuala ya chezi za club bingwa!
Then hiyo jezi nyeupe tu ndio umeona haifai dhidi ya Al Ahly? Jezi ya tatu ya Al Ahly unaijua!? Au unaelewa mantiki ya kuwa na jezi tatu?
sema klabu yao sio klabu zetu. Yanga wako next level kabisa.Wabunifu ni SIFURI KABISA
Ndiyo ujue hizi klabu zetu watu hawatumii akili, hivi wakienda kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu hao Simba watavaa jezi ipi?
Empty mindKwa hiyo kumbe upande wa pili mnajikubali kweli kuwa ni utopolo!?
Halafu inaonekana wewe ni kilaza sana, rudia kusoma nilichoandika ukielewe! Kama huwezi kuelewa muonyeshe jirani yako mwenye uelewa mkubwa zaidi yako akueleweshe ili pia ujue CAF nao wanahusika vipi na masuala ya chezi za club bingwa!
Then hiyo jezi nyeupe tu ndio umeona haifai dhidi ya Al Ahly? Jezi ya tatu ya Al Ahly unaijua!? Au unaelewa mantiki ya kuwa na jezi tatu?
unateseka?Mmesikia wapi timu inazindua jezi mpya mara mbili kwenye msimu mmoja Mo na kimada wake watawauwa msimu huu...
Kwanini Simba wasingemtumia chama na Kagere au Bocco kuzindua jersey zao ?View attachment 1629362View attachment 1629364View attachment 1629365
Wakosoaji karibuni tena. Simba hatuna baya
wazee wa sununu hawakosi kasoroKwanini Simba wasingemtumia chama na Kagere au Bocco kuzindua jersey zao ?
Watakupinga ila ukweli ndio uko hivyoooWabunifu ni SIFURI KABISA
Ndiyo ujue hizi klabu zetu watu hawatumii akili, hivi wakienda kucheza na timu inayotumia jezi nyekundu hao Simba watavaa jezi ipi?
Labda mbali nyumbani kwa mudiWatanzania wote bila kujali ukabila,uchama au kitimu tuungane tuisaport Simba sc ,naiona Simba sc inaenda kufika mbali sana