Simba SC kamwe haiwezi kuiombea dua jema Yanga

Simba SC kamwe haiwezi kuiombea dua jema Yanga

uwezekano wa kuwafunga wale watu kule kwao ni mdogo sana,tuwe realistic jamani.
 
baada ya dkk 90 leo naomba uje hapa jamvini u confess,mimi pia nitarudi hapa.

Nimetimiza ahadi nimerudi, hali mbaya ila imepigana kiume mpaka kufikia hatua ya matuta. Hatujatolewa kizembe na tumekubali kushindwa.
Warudi kupambana kwenye ligi kuu ya Vodacom.
 
Nimetimiza ahadi nimerudi, hali mbaya ila imepigana kiume mpaka kufikia hatua ya matuta. Hatujatolewa kizembe na tumekubali kushindwa.
Warudi kupambana kwenye ligi kuu ya Vodacom.

Penalty yanga 3 Al hilay 4 lakini ni kweli ni bahati tuu haikuwa kwetu maana kipa Dida kicheza penati 2
 
Nimetimiza ahadi nimerudi, hali mbaya ila imepigana kiume mpaka kufikia hatua ya matuta. Hatujatolewa kizembe na tumekubali kushindwa.
Warudi kupambana kwenye ligi kuu ya Vodacom.

safi sana kwa kutimiza ahadi yetu,mnyama nae anatamani kuwadhalilisha tena.mrudi haraka,maana watoto wanashusha sana heshima ya mnyama.c unajua tena yanga kwa simba ni kama chatu na mbwa...?karibuni nyumbani
 
Mimi sio msemaji wa Simba SC lakini kwa hali yoyote sio rahisi kwa wapenzi wa Simba kuiombea dua jema Yanga katika mtinange wake huko Cairo dhidi ya Waarabu.... sababu kubwa ni kwamba hata kama wakiombea dua jema Yanga wakishinda badala ya kuikashifu timu waliyoifunga wao wanaigeukia Simba kwa kejeli, kashfa kwa gia ya utani wa JADI .............namaliza kwa kusema kila mtu na mzigo wake !!!!!! :target:

Mleta Mada Upo Sahihi Sana,nilikuwa Nasikiliza Mech Nikihofu Yanga Ikishinda Kesho Nitajificha Wapi?Alafu Sio Kweli Kuwa Kutoisapoti Klabu Ya Nchin Mwako Sio Uzalendo.Wenzetu Ulaya Huwez Ukakuta Mtu Wa Mji Mf:Newcastle Akishangilia Timu Ya Mji Wa London,kila Timu Kwa Mech Za Ndan Au Kimataifa Zina Washabiki Wake.Kama Ni Swala La Uzalendo Kuna Mwaka Simba Kwenye Klabu Bingwa Afrika Ilipokuwa Inacheza Na Timu Ya Zambia Yanga Ilimwekea Pingamiz Nadhan Victo Kosta CAF,hakucheza Na Alikuwa Mtu Mhimu.
 
YANGA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO...Yaliyotokea ni matokeo na tumeyakubali coz bahati haikua yetu tu...PONGEZI KWA WACHEZAJI WETU WAMEPIGANA KWA NGUVU ZOTE...
 
Kila Timu Inapigania Kuweka Rekodi,sio Rahis Ukashangilia Timu Pinzan,huwez Ukakuta Msha Bik Wa Baca Anakwenda Kushangilia Madrid Au Hata Kwenda Uwanjan Tu,labda Iwe Inacheza Na Timu Yake.
 
Penalty yanga 3 Al hilay 4 lakini ni kweli ni bahati tuu haikuwa kwetu maana kipa Dida kicheza penati 2

Kweli ni bahati tu haikuwa yetu leo, kama wao tulipowafunga hapa.
Mengine yataendelea
 
Na wapigwe tu kama walifanya makusudi kwa kutofunga magoli mengi nyumbani wakitegemea miujiza mi nasema wapigwe tu.
 
Back
Top Bottom