Mimi sio msemaji wa Simba SC lakini kwa hali yoyote sio rahisi kwa wapenzi wa Simba kuiombea dua jema Yanga katika mtinange wake huko Cairo dhidi ya Waarabu.... sababu kubwa ni kwamba hata kama wakiombea dua jema Yanga wakishinda badala ya kuikashifu timu waliyoifunga wao wanaigeukia Simba kwa kejeli, kashfa kwa gia ya utani wa JADI .............namaliza kwa kusema kila mtu na mzigo wake !!!!!! :target: