Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,869
- 32,708
Safi sana, hongera kwa kushabikia timu bora.
tuko pamoja.!
Wow pamoja mkuu.
Safi sana, hongera kwa kushabikia timu bora.
tuko pamoja.!
.....Wanasahau walivyohamasishana kununua kwa maelfu jezi la TP Mazembe mpaka leo zimezagaa jijini... leo wanaomba dua za Watanzania... :rofl:
Ukiomba dua mbaya ndiyo wanafanya vizuri, pole sana, hata mchezo wa awali wa Yanga na Al-Ahily Simba walijifanya kuwachukua wapenzi wake ili wakafyeke bunju eti wajenge uwanja ndani ya suku 100, mradi tu wasiende uwanjani, kiwanja cha mpira kijengwe kwa siku 100? Labda cha makuti, duwa yao ikagonga mwamba mapato 484M na ushindi juu, Yanga ikapata 232M Simba ikaambulia 4M mbeya, ndiyo maana mishahara hakuna Simba.
Dua la kuku halimpati mwewe, endelea kuota hivyohivyo. Mlianzia kuwanga hapa na tukawaonyesha kazi yaani siku ile tulizifunga timu mbili, mkiwemo simba.
Utaipenda tu yanga ndugu yangu
Warabu full fitina. Yanga mkichomoka leo, mganga wenu mumnunulie V8.
Yani goli la kubahatisha la canavaro?hivi canavaro ana magoli mangapi toka ajiunge na yanga?ile ni bahati nasibu tu ambayo haitajirudia,profesheno straika walishindwa kufunga Dar,wataweza misri bantu lady?
Mpira dakika 90 sawa acha kupiga mayowe pixel wacha mjionee wenyewe.
Kama tuliweza kuwapiga home hapa, tutashindwaje kwao. Tena timu imeenda ikiwa na kujiamini hii tayari ni silaha, hawataogopa na watacheza kufa na kupona kuleta ushindi home. Mungu ibariki Yanga.
baada ya dkk 90 leo naomba uje hapa jamvini u confess,mimi pia nitarudi hapa.
......... Kwa kweli Yanga kiboko kumbe hamhitaji dua za wa TZ !!!!!!
Simba mmepigwa fine laki tano kwa uchawi! Na safi hii Simba ilivyo mbovu + wachezaji wana njaa hakuna mshahara wataanza kupigwa na Azam 4 - 0 na siku hiyo ulinzi mpaka jukwaani sijui mtang'oaje viti. mkikutana wa wazee wa Uturuki mtakula wiki qudalaleki.
Sina tatizo la kurudi hapa baada ya mpira. Ndio maana nikakwambia mpira ni dakika 90. Lolote laweza kutokea ila sisi wenye mapenzi na Yanga tunaiombea ushindi, ndicho tunachohitaji. Hata ikifungwa bado ni timu yetu na nitaipenda mpaka mwisho wangu.