Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,042
- 134,328
Mohamed mussa ,, ndio amesajiliwaSema haya mambo ya kuigaiga yakomeshwe mara moja hapo msimbazi, sisi ndyo wa kutukeshesha kama Popo mida ya uto kweli?
Hapa jamaa wametukosea sana.
Yah inaonekama hivo maana huo uwanja hapo nyuma ya huo mkono unaonekana kama ni uwanja wa amani Zanzibar
Ni Mohamed mussa, hili timu hovyo Sana kwa Mara ya Kwanza nimewakubali yanga aiseYah inaonekama hivo maana huo uwanja hapo nyuma ya huo mkono unaonekana kama ni uwanja wa amani Zanzibar
This is SIMBA

Bakia sasa Yanga, simba itaendelea kuwepo hata usipo kuwepo wwNi Mohamed mussa, hili timu hovyo Sana kwa Mara ya Kwanza nimewakubali yanga aise
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app








Baleke akili yangu inanitumahivyo ila mahalinimegusiwa ni musa hapa simba wametukoseaMohammed Mussa - Malindi, Zanzibar
Jean-Marc Makusu - DCMP
Jean Baleke Othos - TP Mazembe
mmojawapo hapo
Watu wana shauku na mchezaji wa kigeni. Ikitokea kuwa ni huyo Musa hali itachafuka mtandaoni kwa maneno ya hasira maana mashabiki wa Simba watakuwa wamekwazika mnoBaleke akili yangu inanitumahivyo ila mahalinimegusiwa ni musa hapa simba wametukosea
Uko sahihi kabsa ila ngoja tuoneWatu wana shauku na mchezaji wa kigeni. Ikitokea kuwa ni huyo Musa hali itachafuka mtandaoni kwa maneno ya hasira maana mashabiki wa Simba watakuwa wamekwazika mno
70% ni BalekeUko sahihi kabsa ila ngoja tuone
Miki kafungua code ni striker kutoka congo70% ni Baleke
Naona mmeamua kutembelea kiki ya simba na nyie mnatangaza usiku saa sita 🤣🤣🤣70% ni Baleke