Simba SC 3-0 JKT Tanzania FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Vodacom Premier League VPL

Mkuu Simba ilicheza na back three.yaani

Wawa. Kennedy. Nyoni

Kapombe. Lwanga. Mzamiru. Zimbwe

Miquesson. Chama

Mugalu

Ila inaposhambulia Nyoni alikua anaongezeka ndani anacheza na Lwanga ,kisha mzamiru anasogea juu zaidi kuwa connect ya Mugalu ,Chama na luis

Wakati huo pale nyuma anabaki Wawa na Kennedy.Kennedy jana alikua kama stopper ndamana uliona jana Kennedy aliinjoi sana maana kazi zote zilifanywa na Nyoni na Wawa yeye alikua anaokota tu anapiga kulia anapiga kushoto.

Kapombe na zimbwe walikua ma wingbacks wakianzia kwenye mstari wa kati kati ya uwanja.
Mpira wa Simba unabadilika badilika mpaka unapata ladha tamu ya soka lenyewe, acha tu Simba iitwe Simba!!
 
sisi Kama Yanga tunaumia Sana kuona simba inacheza mpira namna ile halafu TFF inaangalia tu mbaya zaidi wachezaji wa simba wanacheza mpira mpaka refa anacheka hili jambo halikubaliki hata kidogo.
Inakuwaje Mchezaji wa simba anampiga tobo mchezaji wa polisi mpaka kocha wao anashushia na maji? jambo hili halikubaliki TFF inaihujumu Yanga.
Mpira inaocheza simba wakulaumiwa ni TFF
PONA HARAKA AISHI MANULA
 
sisi Kama Yanga tunaumia Sana kuona simba inacheza mpira namna ile halafu TFF inaangalia tu mbaya zaidi wachezaji wa simba wanacheza mpira mpaka refa anacheka hili jambo halikubaliki hata kidogo.
Inakuwaje Mchezaji wa simba anampiga tobo mchezaji wa polisi mpaka kocha wao anashushia na maji? jambo hili halikubaliki TFF inaihujumu Yanga.
Mpira inaocheza simba wakulaumiwa ni TFF
PONA HARAKA AISHI MANULA
Nimecheka sana leo daah
 
Utopolo wanaumia sana Simba inashinda kiulaini sana halafu wenyewe mpaka walilie penati ndio wanapata ushindi.
Usipowapa penati utopolo utayarishe polisi wa kukusindikiza unapotoka uwanjani!! Lakini ukiwapa kama Yule wa juzi, hapo ndipo utakapoona meno yote 32 ya utopolo.
Nasikia mashabiki wa Utopolo walisikika wakisema: Huyu ndiye refarii anayepaswa kuichezesha hata kombe la dunia!! Kisa, kawapa penati!!
 
Mkuu Simba ilicheza na back three, yaani

Wawa. Kennedy. Nyoni

Kapombe. Lwanga. Mzamiru. Zimbwe

Miquesson. Chama

Mugalu

Ila inaposhambulia Nyoni alikua anaongezeka ndani anacheza na Lwanga ,kisha mzamiru anasogea juu zaidi kuwa connect ya Mugalu ,Chama na luis

Wakati huo pale nyuma anabaki Wawa na Kennedy.Kennedy jana alikua kama stopper ndamana uliona jana Kennedy aliinjoi sana maana kazi zote zilifanywa na Nyoni na Wawa yeye alikua anaokota tu anapiga kulia anapiga kushoto.

Kapombe na zimbwe walikua ma wingbacks wakianzia kwenye mstari wa kati kati ya uwanja.
Mkuu jinsi mpira ulivyokuwa unachezwa formation ilikuwa ikibadilika badilika na kuunda shape tofauti tofauti kila wakati.

Kuna muda ulikuwa unamuoni Nyoni anapanda juu kabisa acheza Kama kiungo mshambuliaji box to box yaani 8, Mzamiru anapanda juu zaidi anacheza Kama namba kumi nyuma ya Mugalu

Angalia goli la pili jinsi move zilivyokuwa
Inamaana wakati Nyoni yuko kule juu anatoa assist kwa Luis wakati huo tayari kapombe Kesha rudi kwenye nafasi yake na Kennedy yupo katikati na Wawa.

Mfumo ulikuwa unabadilika mara nyingi sana na hapo ndipo wakati mwingine tunalazimika kuamini kuwa man of the match ni kocha Gomez.
 
Mkuu jinsi mpira ulivyokuwa unachezwa formation ilikuwa ikibadilika badilika na kuunda shape tofauti tofauti kila wakati.

Kuna muda ulikuwa unamuoni Nyoni anapanda juu kabisa acheza Kama kiungo mshambuliaji box to box yaani 8, Mzamiru anapanda juu zaidi anacheza Kama namba kumi nyuma ya Mugalu

Angalia goli la pili jinsi move zilivyokuwa
Inamaana wakati Nyoni yuko kule juu anatoa assist kwa Luis wakati huo tayari kapombe Kesha rudi kwenye nafasi yake na Kennedy yupo katikati na Wawa.

Mfumo ulikuwa unabadilika mara nyingi sana na hapo ndipo wakati mwingine tunalazimika kuamini kuwa man of the match ni kocha Gomez.
Maana yangu ni kwamba Kennedy hakumback up Kapombe,kapombe alikua akiwa backup na Wawa,ndio ambae kimfumo analazimika kumsogelea .Na alietumika kuubadili badili mfumo kila wakati ni Nyoni,na alifanya hivyo baada ya kuona madhaifu mengi ya JKT.tuko pamoja mkuu
 
Mkuu jinsi mpira ulivyokuwa unachezwa formation ilikuwa ikibadilika badilika na kuunda shape tofauti tofauti kila wakati.

Kuna muda ulikuwa unamuoni Nyoni anapanda juu kabisa acheza Kama kiungo mshambuliaji box to box yaani 8, Mzamiru anapanda juu zaidi anacheza Kama namba kumi nyuma ya Mugalu

Angalia goli la pili jinsi move zilivyokuwa
Inamaana wakati Nyoni yuko kule juu anatoa assist kwa Luis wakati huo tayari kapombe Kesha rudi kwenye nafasi yake na Kennedy yupo katikati na Wawa.

Mfumo ulikuwa unabadilika mara nyingi sana na hapo ndipo wakati mwingine tunalazimika kuamini kuwa man of the match ni kocha Gomez.
Ukisikia innovation katika mpira ndo hii ya GOMEZ. Huwezi kuangalia video za Simba halafu ukaja na majibu wanacheza formation gani. Big up kwa kocha huyu.
 
Back
Top Bottom