Wachezaji wa Simba washakubaliana hata wakipata Penati wanaipiga nje ya Lango, hivyo usiulize magoli ya penati.
Kocha Gomes amesema kuwa.
"Kila kitu kipo sawa, baada ya mchezo Aishi Manula amepelekwa hospital kufanyiwa vipimo. Ni mchezaji muhimu sana na nina imani anacheza mechi Sudan".
Hakuna timu Ulaya inayoweza kumsajili Andunje
Kocha Gomes amesema kuwa.
"Kila kitu kipo sawa, baada ya mchezo Aishi Manula amepelekwa hospital kufanyiwa vipimo. Ni mchezaji muhimu sana na nina imani anacheza mechi Sudan".
Sasa hivi simba hata tukipata penat tunapiga nje huo ndio mpango
Sent from my itel A12 using JamiiForums mobile app
Messi ngongoti eeh?Hakuna timu Ulaya inayoweza kumsajili Andunje
KabisaKakolanya yuko vzr naye, msiwe na wasiwasi
Aisee, Yaani Kakolanya ile Confidence aliyokuwa nayo kutulia kule....na save zake wala hakuna haja ya kuwa na wasiwasi....!Kakolanya yuko vzr naye, msiwe na wasiwasi
Kuna afande mmoja alisikika akisema kufungwa goli 3 na Simba ni Ushindi maaana hata hao Ahly wenyewe walikuwa Bin Taaban
Messi, Sadio Mane, Rahim Starling, orodha ni ndefu.Hakuna timu Ulaya inayoweza kumsajili Andunje
gd za azam + Yanga + biashara = gd za mnyamaNadhani Kamati ya Mapokezi kitu kinagonga..!View attachment 1715000
Mkuu Simba ilicheza na back three, yaaniHapo kapombe anacheza Kama wiga wa kulia yaani 7 alafu Kennedy anacheza beki wa kulia no 2 kisha Nyoni na Wawa wanacheza katikati kama ma central defenders ndio maana unamuona chikwende na Bwalya wako nje.
Kuna muda anaweza kutoka Kennedy kisha kapombe akarudi no 2 alafu akaingia Chikwende kwanda kucheza wiga wa kulia au akaingia Bwalya kisha akaenda kucheza kushoto alafu Konde Boy akaja kucheza upande wa kulia.
Huyu kocha ni mjanja sana huyu.