ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Happy New Year Kwa Jamii Sports Members Wote ! Salamu za Mwaka Mpya Ziwe nanyi Popote Pale Mlipo Katika Dunia Hii Ambayo ni Sayari Ya 3
Katika NBC Premier League, leo tunauanza mwaka mpya wa 2022 kwa mzizima derby ni Simba Sc dhidi ya Azam FC
Mechi hi itapigwa katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku.
KATIKA MZIZIMA DERBY
Azam FC haijapata ushindi wowote mbele ya Simba kwenye ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, wakati Simba ikishinda mechi nne na kutoka sare mechi nne. Katika mashindano mengine nje ya ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, Simba na Azam wamekutana mara tano, Azam ikishinda mara mbili na Simba ikishinda mara tatu. LEO wanakutana katika mchezo wa 14 kwenye mshindano yote tangu msimu wa 2017/18, Simba
ikiwa imeshinda michezo saba NA Azam ikishinda michezo miwili.
Je, nini kitatokea Leo?
Je, ni mnyama SimbaSC ama AzamFC nani kuondoka na alama 3?
Tuwe hapa Kufuatilia Mubashara kwa Dakika 90
Update
Vikosi vya Timu zote Mbili vimetoka
View attachment 2065320View attachment 2065324
=============
01' Mpira umeanza kwa kasi sana uwanja wa Benjamin Mkapa
09' 🟡Zulu anapewa kadi ya njano
12' Penaaalt, Domayo anamchezea ndivyo sivyo Sakho ndani ya 18
14' Bwalya anashindwa kuweka ndani mkwaju wa penalt, Ahmed Ali anaudaka barabara. Simba 0-0 Azam
17' Azam wanapata kona, Sebo anagonga kichwa na kutoka nje ya lango la Simba
20' Almanusura Sakho aiandikie Simba bao la kwanza, shuti lake kali kutoka nje ya 18 linagonga mwamba na kurudi ndani
28' Azam wanapata kona kuelekea Simba, inashindwa kuzaa matunda
28' Inonga yuko chini msuli ukiwa umekaza
33' Simba wanapata kona ya pili ya mchezo, Ahmed Ali anauficha mpira mikononi.
35' 🟡Onyango analambwa kadi ya njano
43' Sakho anaangushwa nje kidogo ya 18, mlingoti unawatendea wema Azam kwa mara nyingine kwa mpira kugonga mwamba
45+2' Mpira mapumziko
45' Mpira umerejea na Azam wanaanza kwa kupata kona ambayo haijazaa matunda
48' Simba wanapata kona, mlinda mlango anakaa barabara na kudaka
50' Paul Katema anapiga shuti kuelekea lango la simba na linapaa juu
58' Chilunda anaingia kuchukua nafasi ya Mudathiri, Rodgers anachukua nafasi ya Idriss kwa upande wa Azam
65' Sakho anajaribu na Ahmed Ali anauficha tena mikonini
65' Kagera anaenda nje, Mugalu anachuku nafasi yake. Bwalya nae anakwenda nje
66' 🟡Wadada anapewa kadi ya njano
67' ⚽ Sadio Kanoute anaiandikia Simba bao la kwanza kwa mpira wa kichwa, free kick kutoka kwa Zimbwe
72' ⚽Sakhooooo anaiwekea Simba bao la pili, Simba 2-0 Azam
79' ⚽Goli safi kutoka kwa Rodgers Kola, akituliza mpira kifuani na kutandika shuti huku Manula akijinyoosha mpaka mwisho
90+4' Simba wanaanza na ushindi 2022, mpira umekwisha uwanja wa Benjamin Mkapa
Katika NBC Premier League, leo tunauanza mwaka mpya wa 2022 kwa mzizima derby ni Simba Sc dhidi ya Azam FC
Mechi hi itapigwa katika dimba la Benjamin Mkapa kuanzia saa 1:00 usiku.
KATIKA MZIZIMA DERBY
Azam FC haijapata ushindi wowote mbele ya Simba kwenye ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, wakati Simba ikishinda mechi nne na kutoka sare mechi nne. Katika mashindano mengine nje ya ligi kuu tangu msimu wa 2017/18, Simba na Azam wamekutana mara tano, Azam ikishinda mara mbili na Simba ikishinda mara tatu. LEO wanakutana katika mchezo wa 14 kwenye mshindano yote tangu msimu wa 2017/18, Simba
ikiwa imeshinda michezo saba NA Azam ikishinda michezo miwili.
Je, nini kitatokea Leo?
Je, ni mnyama SimbaSC ama AzamFC nani kuondoka na alama 3?
Tuwe hapa Kufuatilia Mubashara kwa Dakika 90
Update
Vikosi vya Timu zote Mbili vimetoka
View attachment 2065320View attachment 2065324
=============
01' Mpira umeanza kwa kasi sana uwanja wa Benjamin Mkapa
09' 🟡Zulu anapewa kadi ya njano
12' Penaaalt, Domayo anamchezea ndivyo sivyo Sakho ndani ya 18
14' Bwalya anashindwa kuweka ndani mkwaju wa penalt, Ahmed Ali anaudaka barabara. Simba 0-0 Azam
17' Azam wanapata kona, Sebo anagonga kichwa na kutoka nje ya lango la Simba
20' Almanusura Sakho aiandikie Simba bao la kwanza, shuti lake kali kutoka nje ya 18 linagonga mwamba na kurudi ndani
28' Azam wanapata kona kuelekea Simba, inashindwa kuzaa matunda
28' Inonga yuko chini msuli ukiwa umekaza
33' Simba wanapata kona ya pili ya mchezo, Ahmed Ali anauficha mpira mikononi.
35' 🟡Onyango analambwa kadi ya njano
43' Sakho anaangushwa nje kidogo ya 18, mlingoti unawatendea wema Azam kwa mara nyingine kwa mpira kugonga mwamba
45+2' Mpira mapumziko
45' Mpira umerejea na Azam wanaanza kwa kupata kona ambayo haijazaa matunda
48' Simba wanapata kona, mlinda mlango anakaa barabara na kudaka
50' Paul Katema anapiga shuti kuelekea lango la simba na linapaa juu
58' Chilunda anaingia kuchukua nafasi ya Mudathiri, Rodgers anachukua nafasi ya Idriss kwa upande wa Azam
65' Sakho anajaribu na Ahmed Ali anauficha tena mikonini
65' Kagera anaenda nje, Mugalu anachuku nafasi yake. Bwalya nae anakwenda nje
66' 🟡Wadada anapewa kadi ya njano
67' ⚽ Sadio Kanoute anaiandikia Simba bao la kwanza kwa mpira wa kichwa, free kick kutoka kwa Zimbwe
72' ⚽Sakhooooo anaiwekea Simba bao la pili, Simba 2-0 Azam
79' ⚽Goli safi kutoka kwa Rodgers Kola, akituliza mpira kifuani na kutandika shuti huku Manula akijinyoosha mpaka mwisho
90+4' Simba wanaanza na ushindi 2022, mpira umekwisha uwanja wa Benjamin Mkapa