Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 19,707
- 59,863
Tuliza mshonoHapo wangemuweka refa katika kikosi maana ndo mtu pekee anaeupiga mwingi na kuokoa jahazi
Tuliza mshonoHapo wangemuweka refa katika kikosi maana ndo mtu pekee anaeupiga mwingi na kuokoa jahazi
Nyie mambo yenu ya kimalaika kudeal na refa tuSisi hatufanyi mambo ya kishetani kama yenu.
Account number ipi ili uweze kuangalia?
Hayo ni mambo yenu kulalamikia TFF.Nyie mambo yenu ya kimalaika kudeal na refa tu
Mtashinda njaaLazima tushinde cost ni wadogo sana kwetu.
Hiyo hiyo iliyo kataliwa goli la kagereHahahaha kwa simba Ipi? Hii ya kutafuta penati za kiwaki
hayo mawazo yako mkuuMtashinda njaa
Umeshawahi kucheza hata gombania goli!?Kwa hiki kikosi naamini kabisa maneno ya Mo kuna wangese wanatuharibia timu... Leo tukishinda hata goli moja tushukuru Mungu
Kibu ndio wakumuweka bench BM kweli? Dilunga game zote kapewa muda lakini mpaka sasa hajui kipi anafanya!
Kipa wa Uto alikuwa golini mechi yenu na kmcMnacheza na tawi lenu leo
Captain wa team ya shule nikiwa high school, nimekustahi tu kukujibu vizuriUmeshawahi kucheza hata gombania goli!?
Shule gani hiyo mwanangu. Na ulikuwa unacheza namba ngapi!?Captain wa team ya shule nikiwa high school, nimekustahi tu kukujibu vizuri
Kmc - kipa etc ni utoMatawi ya yanga ni yapi!? Leo najifunza mengi.
Tumemalizana na matawi ya yanga maana. Walipewa pesa ili kutuvunjia miguu wachezaji wetu.Kmc - kipa etc ni uto
Jkt - kocha etc.
Polisi - kipa etc
Bashara - mnajua RC alichofanya
Dodoma Jiji - mnajua mbunge alichofanya,
N.k.