Simba Sc 0-0 Coastal Union | Ligi kuu | Benjamin Mkapa

Kwa hiki kikosi naamini kabisa maneno ya Mo kuna wangese wanatuharibia timu... Leo tukishinda hata goli moja tushukuru Mungu


Kibu ndio wakumuweka bench BM kweli? Dilunga game zote kapewa muda lakini mpaka sasa hajui kipi anafanya!
 
Kwa hiki kikosi naamini kabisa maneno ya Mo kuna wangese wanatuharibia timu... Leo tukishinda hata goli moja tushukuru Mungu


Kibu ndio wakumuweka bench BM kweli? Dilunga game zote kapewa muda lakini mpaka sasa hajui kipi anafanya!
Umeshawahi kucheza hata gombania goli!?
 
Back
Top Bottom