Simba ni Bora sana kiasi kwamba ikikosa ubingwa MNASIKITIKA

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,495
34,256
Kila wakati hoja ya Simba "mbovu" huwa siielewi kabisa.

Ubovu wa Simba kigezo huwa ni nini?

Je, Simba ni timu isiyotakiwa kufungwa?

Je, Simba ni timu isiyotakiwa kutoka suluhu?

Je, Simba inatakiwa iwe mshindi kwenye kila mashindano inayoshiriki?

Maana Simba ikiishia robo fainali Klabu Bingwa inalaumiwa!

Ikiwa mshindi wa pili ligi Kuu inalaumiwa!

Hivi Simba ndiyo ingekuwa kama Liverpool ama Arsenal ya Uingereza si wachezaji wake wangekuwa wanarushiwa mawe uwanjani!?

Kama mngekuwa mnaamini Simba ni timu mbovu msingekuwa mnalaumu kila inapofungwa au kutoka suluhu!
 
Kila wakati hoja ya Simba "mbovu" huwa siielewi kabisa.

Ubovu wa Simba kigezo huwa ni nini???

Jee Simba ni timu isiyotakiwa kufungwa!!??

Jee Simba ni timu isiyotakiwa kutoka suluhu??

Jee Simba inatakiwa iwe mshindi kwenye kila mashindano inayoshiriki???

Maana Simba ikiishia robo fainali Klabu Bingwa inalaumiwa!!

Ikiwa mshindi wa pili ligi Kuu inalaumiwa!!

Hivi Simba ndiyo ingekuwa kama Liverpool ama Arsenal ya Uingereza si wachezaji wake wangekuwa wanarushiwa mawe uwanjani!??

Kama mngekuwa mnaamini Simba ni timu mbovu msingekuwa mnalaumu kila inapofungwa au kutoka suluhu!!
Afadhali umeliona hili.
Kwakweli mashabiki ni tatizo linaloitafuna Simba.

Hawana msaada zaidi ya kuididimiza. Shabiki gani anayeibuka tu pale timu inaposhinda?

Ikifungwa tu inakuwa ni tatizo. Mambo kama haya yalianza kujitokeza yanga wakati ule ikitaabishwa na mechi za kimataifa.

Tiba yake ilikuwa ni Engineer Hersi kuwakemea kuwa wasimbabaishe na kuwa wao ni wala mihogo tu wasiochangia chochote ktk uendeshaji wa timu.

Ifikie hatua uongozi wa Simba utoke hadharani kuwakemea hawa mashabiki maandazi.
 
Maana yake hata hao wanaoifunga Simba na kuchukua ubingwa huwa hawaamini kama wamefanya hivyo mbele ya Simba kwani wanaujua ubora wa Simba!
Ndiyo maana yake...

Simba wakichukua ubingwa wengine wakiwa washindi wa pili hakuna kelele.

Nakumbuka Yanga wakati wakiitwa " wa kimataifa" walikuwa wanaishia raundi ya kwanza tu.

Simba kufika robo fainali wanaitwa "mwakarobo" lakini Yanga haikuwahi kufika hatua hiyo kwa miaka 26 mfululizo na watu walikuwa wanaona sawa tu!!!

Fikiria Yanga ndiyo wangekuwa wanafika robo fainali halafu Simba wawe Kwa miaka 26 wanaishia hatua ya makundi,sijui ingekuwaje!!??
 
Simba ni Bingwa wa Ngao ya Jamii, nitajie timu yoyote yenye Taji Msimu huu kwenye ligi ya NBC?
Anayesema Simba mbovu ni kiande haswaaa
Na magazeti ya michezo na hao wachambuzi ndiyo balaa.

Leo nimeona gazeti limeandika " Simba itupe Taulo ulingoni" yaani ikubali haiwi Bingwa.

Sasa huyo mwandishi anataka Simba iache kushiriki ligi Kuu!??
 
Na magazeti ya michezo na hao wachambuzi ndiyo balaa.

Leo nimeona gazeti limeandika " Simba itupe Taulo ulingoni" yaani ikubali haiwi Bingwa.

Sasa huyo mwandishi anataka Simba iache kushiriki ligi Kuu!??
Mpira wa Simba na Yanga uko na Umafia mwiiingi nje ya Uwanja. Ushindi wa kujituma uwanjani ni 50% hizo zinazobaki ni mipango ya kando.
Ndio maana unaona wakicheza na Azam au timu za Jeshi ambazo mipango yao mara nyingi inakwama wanapoteana mkuu stuka! Wao kwa wao akili ni hiyo hiyo pia. Simba walikaa vibaya tu wakampachika pale Mangungu na siku ya uchaguzi alizomewa lkn kura zikapigwa tiktak akashinda, so yule mzee ni mamluki haswaaaaaa
 
Kila wakati hoja ya Simba "mbovu" huwa siielewi kabisa.

Ubovu wa Simba kigezo huwa ni nini?

Je, Simba ni timu isiyotakiwa kufungwa?

Je, Simba ni timu isiyotakiwa kutoka suluhu?

Je, Simba inatakiwa iwe mshindi kwenye kila mashindano inayoshiriki?

Maana Simba ikiishia robo fainali Klabu Bingwa inalaumiwa!

Ikiwa mshindi wa pili ligi Kuu inalaumiwa!

Hivi Simba ndiyo ingekuwa kama Liverpool ama Arsenal ya Uingereza si wachezaji wake wangekuwa wanarushiwa mawe uwanjani!?

Kama mngekuwa mnaamini Simba ni timu mbovu msingekuwa mnalaumu kila inapofungwa au kutoka suluhu!
Hata tukilikosa hilo kombe la Muungano, litaanzishwa Makonda Cup na zitashiriki timu mbili tu, hadi tulichukue
 
Hata tukilikosa hilo kombe la Muungano, litaanzishwa Makonda Cup na zitashiriki timu mbili tu, hadi tulichukue
Utopwinyo ni kama wanga. Wenyewe wanaitwa wanga Lakini mambo yao wanafanyia gizani... Nyie mliambiwa mshiriki mkakataa leo kiroho kinawakereketa.

Msiwe na kisebusebu na kiroho papo!!!
 
Back
Top Bottom