Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,305
- 33,924
Nilikuwa naangalia thamani ya wachezaji walio huru kwenye mtandao wa "Transfermarkt" na kukuta kuwa mchezaji wa zamani wa Simba Dejan Georgijevic kwa sasa thamani yake ni Kati ya shilingi za kitanzania milioni 700 hadi bilioni moja na milioni mia nne.
Kwanza nilishangaa imekuwaje mchezaji aliyeonekana hana kiwango kikubwa hapa Tanzania, awe na thamani hiyo. Au kuchezea Simba kumemfanya Dejan awe na thamani kubwa kama hiyo?
Kwanza nilishangaa imekuwaje mchezaji aliyeonekana hana kiwango kikubwa hapa Tanzania, awe na thamani hiyo. Au kuchezea Simba kumemfanya Dejan awe na thamani kubwa kama hiyo?