Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Siyo siri kwamba Yanga imeshitakiwa FIFA ikidaiwa takribani TZS 36m/= kwa mchanganuo wa Njoroge 17m/= na Papic 19m/=. Vile vile Yanga inadaiwa na Simba 50m/= za Mbuyu Twite.
Kwa upande wa Simba, Basena kashitaki CAF akidai 112.3m/= (Source: Gazeti la Mwananchi, Jumanne Oktoba 2012, uk. 24).
Viongozi lipeni madeni, mashabiki acheni kuchekana.
Kwa upande wa Simba, Basena kashitaki CAF akidai 112.3m/= (Source: Gazeti la Mwananchi, Jumanne Oktoba 2012, uk. 24).
Viongozi lipeni madeni, mashabiki acheni kuchekana.