malikafif84
Member
- Feb 6, 2013
- 41
- 34
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, tulizilea hizi timu katika mtindo huo na sio rahisi leo kuzitenganisha na CCM, chombo pekee kinachoweza kufanya hivyo ni FIFA kuzipa onyo na kuendelea kuzifuatilia kwa ukaribu.
Sahihi, mwisho wa siku zitaingia kwenye Dini!Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo, tulizilea hizi timu katika mtindo huo na sio rahisi leo kuzitenganisha na CCM, chombo pekee kinachoweza kufanya hivyo ni FIFA kuzipa onyo na kuendelea kuzifuatilia kwa ukaribu.
Ndio Maana hazipigi hatua michezo, kimataifa!Ikiwezekana zifutwe kabisa, maana zinashadidia siasa na udini hasa dini ya kikobazi
Dini ya Kikobazi ni ipi hiyo 😁Ikiwezekana zifutwe kabisa, maana zinashadidia siasa na udini hasa dini ya kikobazi
Yanga sio Tanga.Mwingine wa Tanga kazimwa Kigamboni,Kaenda Kwa kina Mbukwenyi (Kongwa _Dodoma),kaangukia pia 1mimeenda Bure!