Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,611
- 11,913
SIMBA NI TEAM KUBWA. MOHAMMED HUSSEIN ni mchezaji kama wachezaji wengine waliopita Simba wakaenda zao. Huyu hawezi Isumbua Simba hata kidogo.
Mwacheni Meneja wake asiye na Shule amchukue ampeleke anakotaka. Mkimsajiri Mo Hussein kwa kushirikiana na huyu Meneja Mhuni.
Alikuwa na njia sahihi za kudai mshahara wa Mo Hussein kuongezwa. Zipo. But huku anakoona kuwa sasa amepata umaarufu huu ni umaarufu wa muda kwa vyombo vya habari. Ila mwisho wake utakuwa mbaya kwa mchezaji.
SIMBA MWACHENI MOHAMMED HUSSEIN AENDE KWENYE GREENER PASTURES. PLEASE MWACHENI MPIRA NI PESA. MWACHENI AENDE AKAPATE PESA NYINGI ZAIDI.
Mwacheni Meneja wake asiye na Shule amchukue ampeleke anakotaka. Mkimsajiri Mo Hussein kwa kushirikiana na huyu Meneja Mhuni.
Alikuwa na njia sahihi za kudai mshahara wa Mo Hussein kuongezwa. Zipo. But huku anakoona kuwa sasa amepata umaarufu huu ni umaarufu wa muda kwa vyombo vya habari. Ila mwisho wake utakuwa mbaya kwa mchezaji.
SIMBA MWACHENI MOHAMMED HUSSEIN AENDE KWENYE GREENER PASTURES. PLEASE MWACHENI MPIRA NI PESA. MWACHENI AENDE AKAPATE PESA NYINGI ZAIDI.