Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,723
Nilishangaa Sana simba kwenda kuwaalika st.george ya ethiopia kucheza nao, kweli wamechagua timu ya kupata matokeo hili kuwafurahisha mashabiki wao lakini kama ni kipimo cha kujiandaa kucheza mechi za kimataifa basi wamepotea njia kwa aina ya timu waliyocheza nay.
Timu inapiga chenga na kucheza show game awaeleweki wanataka nini, Na nimewafatilia nimeona uwa wanaishia hatua za mwanzo kwenye mechi za kimataifa ni ngumu Sana kutoboa kwa timu ya aina hii.
Simba mmeshinda lakini hii timu haikuwa kipimo sahihi kwenu na kwa kuwaonyesha kuwa akikuwa kipimo sahihi subilini jumamosi mtakapocheza na wale waliofungwa juzi, Mapungufu yenu mtaonyeshwa jumamosi Kama nyie ni bora ama lah!
Timu inapiga chenga na kucheza show game awaeleweki wanataka nini, Na nimewafatilia nimeona uwa wanaishia hatua za mwanzo kwenye mechi za kimataifa ni ngumu Sana kutoboa kwa timu ya aina hii.
Simba mmeshinda lakini hii timu haikuwa kipimo sahihi kwenu na kwa kuwaonyesha kuwa akikuwa kipimo sahihi subilini jumamosi mtakapocheza na wale waliofungwa juzi, Mapungufu yenu mtaonyeshwa jumamosi Kama nyie ni bora ama lah!