Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,772
- 23,211
Hii niko serious, mwota ndoto hafi mpaka itimie.
Viongozi wa simba pelekeni wachezaji wenu wakaombewe.
Chukueni serious maneno ya Benchika, hawa wamechukuliwa ufahamu wagumu kuelewa.
Ukiona mtu kama benchika kasema haya alipigwa kitu kizito kama cha diamond kwa sara.
Msidharau nimewapa na watumishi wa mungu ninaowamini.
Wakiombewa mnakuwa na uhakika na nafasi ya pili msidharau.
Viongozi wa simba pelekeni wachezaji wenu wakaombewe.
Chukueni serious maneno ya Benchika, hawa wamechukuliwa ufahamu wagumu kuelewa.
Ukiona mtu kama benchika kasema haya alipigwa kitu kizito kama cha diamond kwa sara.
Msidharau nimewapa na watumishi wa mungu ninaowamini.
Wakiombewa mnakuwa na uhakika na nafasi ya pili msidharau.