Simba mjifunze kwa Mzee Baba aliyekuwa na majigambo akaishia kuangukia pua, hata nyingi mnaweza kuangukia pua dakika za mwisho

Kwanini mnapenda kutupangia Uhuru wa kufurahi ,wewe Acha Yanga ikuue na Chadema yako
 
We jamaa hujui mpira kabisa. Kwani Simba haijawahi kufungwa?! Ikitokea ikafungwa ni kawaida. Ndiyo mpira. Lazima tushangilie kinachofanyika sasa, hayo ya baadaye ni matokeo ya kawaida kwenye mpira. Eti ushinde halafu uwe mnyonge, si ubora ujitoe tu. Huu ni uandishi wa kinafki. Yaan kila mechi Simba ikishinda, lazima lije bandiko kuhusu mechi zinazofuata. Watu wanaumia sana, wakiongozwa na mtoa post. Simba ikitolewa baada ya hapa si kitu cha ajabu. Endelea kuumia tu.
Wanapenda kututisha sana
 
So far Mikia a.k.a Manguruwe wamefanya vizuri. Huo ni ukweli. Lakini wawe humble in victory.
Wame guarantee timu nne mashindano ya CAF mwakani. Ni kitu kizuri lakini isiwe nyundo ya kabehi
 
So far Mikia a.k.a Manguruwe wamefanya vizuri. Huo ni ukweli. Lakini wawe humble in victory.
Wame guarantee timu nne mashindano ya CAF mwakani. Ni kitu kizuri lakini isiwe nyundo ya kabehi
Tumeshawafanyia mademu zetu mipango mwakani nao wapande ndege
IMG-20210404-WA0004.jpg
 
Acha wivu fala wewe hv ni timu gan inayofanya vizur na wasifurahi au kujimwambafy acha upimbi mzee kaa kwa kutulia ww itakuw ni shabiki wa utopolo alaf mambo ya kufa mtu utafananishaje na soka!!?nahis majirani zako watakuwa wanakazi san
 
Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).

Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.

Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.

Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.

Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.

Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful

Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.

Msije kusema hatukuwaambia.

Hata wewe mtoa mada inawezekana kesho usiwepo hii haimaanisha usifurahie mafanikio unayopata leo!mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi ni chache!
 
Naona jukwaa la kisiasa haliwatoshi, Sasa mmekuja kutusumbua huku. Hivi swala la kifo cha binadamu unawezaje kukilinganisha na kushinda katika michezo.? Yani leo hii Simba wasigurahie ushindi wakati ambapo team inaonyesha ushindani Ili iweje, basi hakuna maana ya ushabiki Sasa.

Ninachojua mimi kuhusu uhai wa mtu ni kwamba, hata uwe mtu usiejivuna kama mashabiki wa Simba, uwe ni mtu wa majivuno, uwe mtu mwenye roho ya kishetani au uamue kuishi kama malaika, kufa ni lazima. Kwahiyo hiyo mzee hata kama asingekufa mwaka huu siku moja angekufa tu.

Ninachojua kuhusu michezo ni kwamba, uwezo na bahati ndo vinavyoamua mshindi bila kujali una majivuno au hauna. Basi kama kutokuwa na majivuno ndo njia ya kupata ushindi, waambie yanga waacha majivuno Ili wafike ilikofika simba. Vipi ile team inayoshika mkia ligi kuu, ipo hapo kwakua inajivuna? Kwenye mpira kama una uwezo wa kushinda unao tu, hata kama ukijivuna.
Tumwache ameprove kuwa hajui siasa na mpira nao haujui hao ndiyo wananchi wanoongozwa na yule bwana aliyepigwa ban. Kwa hii post yake jamaa kathibitisha maneno ya yule kocha mbelgiji kuwa jamaa ni........
 
Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).

Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.

Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.

Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.

Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.

Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful

Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.

Msije kusema hatukuwaambia.
Wewe jamaa,kaa ufahamu kuwa Roho mbaya sio nzuri,Km vipi na wewe shinda halafu ujigambe.
 
Mtoa mada kuna maumivu fulani unayapata ila unajifichia kwenye kutoa ushauri achana na simba yetu tuache tuvimbe nayo we baki hukohuko
 
kwa hyo simba inafanya vizuri we unataka mashabiki tukae tunatia tia huruma kama nyinyi utopolo,,, nini maana ya kushabikia timu sasa kama ikishinda ni uzuni na ikifungwa pia uzuni
 
Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).

Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.

Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.

Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.

Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.

Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful

Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.

Msije kusema hatukuwaambia.

Kila kitu unataka kuleta siasa tu,umeona Jukwaa la Siasa halikutoshi kumsimanga Mwendazake unakuja na huku kupitia Simba uendeleze masimango yako,unaonaje kama ukienda kabisa Chato alipolala ukambagaze hadi hasira zako ziishe. Mwanaume mzima unakuwa na chuki tena na Mwendazake kama Mama Mjamzito.Hebu tuache tufurahie ushindi wa Simba kwa raha zetu.
 
huo mfano hauna link. Sports and entertainment ni mambo ya kujivunia na swags. Hizi ni starehe,ni sawa na kumwambia mtu afike tu kileleni lakini asikojoeeeeeeeeee

Nimemshangaa sana,hapa tuna mitizamo tofauti Kisiasa lakini kwa Jukwaa hili utakuta ni kinyume kabisa,tunaotofautiana kule kwenye Siasa,kwa jukwaa hili unakuta tuko upande mmoja.Asante Mkuu kuliona hili,atuache tufurahie ushindi wa Simba yetu kwa amani.
 
Kha!!wewe mbona mfano wako hauendani?
Basi tuleteeni Mamelody na Esperance Tunis tukate mzizi wa fitna.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom