Simba mjifunze kwa Mzee Baba aliyekuwa na majigambo akaishia kuangukia pua, hata nyingi mnaweza kuangukia pua dakika za mwisho

Baada ya ramri zenu zote za kuona tunapigwa 5 kugonga mwamba ndiyo mmekuja na hayo madai kwamba tusijisifie sana???? Ama kweli uto mnaonyesha ni jinsi gani kiwango chenu cha akili kinazidi kushikiliwa na viongozi wenu dizaini ya mwakalebela.
 
Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).

Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.

Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.

Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.

Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,i ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.

Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful

Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.

Msije kusema hatukuwaambia.
Kuna timu yenye washhabiki roporopo kama vyura fc? Nenda na wivu wako huko. Hata hiyo 1993 yanga wana mchango wao kuihujumu simba na ndiyo maana siku ile waliisapoti sana Ivory Coast.
 
Ungeinama labda pengine pengine unfetushawishi tuangukie kwako hapo...😂😂

Simba oyee
 
Rafiki yangu naona umepanic sana yani unalinganisha vitu viwili tofauti kabisaaaaa! Sijui hiyo ni aina gan ya logic, probably you are less educated wacha nisikulaumu.
 
We jamaa hujui mpira kabisa. Kwani Simba haijawahi kufungwa?! Ikitokea ikafungwa ni kawaida. Ndiyo mpira. Lazima tushangilie kinachofanyika sasa, hayo ya baadaye ni matokeo ya kawaida kwenye mpira. Eti ushinde halafu uwe mnyonge, si ubora ujitoe tu. Huu ni uandishi wa kinafki. Yaan kila mechi Simba ikishinda, lazima lije bandiko kuhusu mechi zinazofuata. Watu wanaumia sana, wakiongozwa na mtoa post. Simba ikitolewa baada ya hapa si kitu cha ajabu. Endelea kuumia tu.
Mpuuzi mmoja huyo mkuu anaeteseka na wivu wa mafanikio ya simba, robo fainali tena tena kwa kuongoza kundi usishangilie, atuache
 
DAH ILA HAWA JAMAA WANA WIVU HATARI HADI BASI JIPYA LA SIMBA LA TATA MARCOPOLO WANALICHAMBUA KWAMBA NI HATARI HALIFAI KWAMBA YUTONG YA 2012 NI BORA ZAIDI, AISEE KWA KWELI HAPANA AISEE NIMEWAVULIA KOFIA
 
Msije kusema hatukuwaambia.
Hata usiposema, Simba ni timu iliyojipanga na inajitambua, na ushauri wako hata hauongezi chochote. Hatua ya robo fainali iliyofikiwa na Simba katika michuano ya Klabu Bingwa ya Afrika 2018/2019 na 2020/2021 ni kubwa kuliko hatua ya fainali ya Kombe la CAF (kama lilivyoitwa wakati huo) mwaka 1993. Kama ulikuwa upo kando na michezo kwa muda mrefu kwa mujibu wa maelezo yako mwenyewe, unawezaje kuanza kuipa ushauri timu iliyofika zaidi ya katikati ya safari? Mipango huwa haipangwi katikati ya project, mipango hupangwa mwanzo wa project kabla ya hatua ya implementation. Simba ilishapanga mambo kwa kusajili wachezaji na benchi zuri la ufundi, hayo yalifanyika mwanzoni. Sasa iweje mtu ambaye hakuwahi kutoa ushauri wakati wa usajili aje kutoa ushauri robo fainali, tena ushauri wenyewe ni kwamba 'msijimwambafy'!? Kwa ufupi, watopolo kaeni pembeni kwa mechi hizi, tunapokutana ni Vodacom Premier League, na sio CAF Champions League
 
Naona jukwaa la kisiasa haliwatoshi, Sasa mmekuja kutusumbua huku. Hivi swala la kifo cha binadamu unawezaje kukilinganisha na kushinda katika michezo.? Yani leo hii Simba wasigurahie ushindi wakati ambapo team inaonyesha ushindani Ili iweje, basi hakuna maana ya ushabiki Sasa.

Ninachojua mimi kuhusu uhai wa mtu ni kwamba, hata uwe mtu usiejivuna kama mashabiki wa Simba, uwe ni mtu wa majivuno, uwe mtu mwenye roho ya kishetani au uamue kuishi kama malaika, kufa ni lazima. Kwahiyo hiyo mzee hata kama asingekufa mwaka huu siku moja angekufa tu.

Ninachojua kuhusu michezo ni kwamba, uwezo na bahati ndo vinavyoamua mshindi bila kujali una majivuno au hauna. Basi kama kutokuwa na majivuno ndo njia ya kupata ushindi, waambie yanga waacha majivuno Ili wafike ilikofika simba. Vipi ile team inayoshika mkia ligi kuu, ipo hapo kwakua inajivuna? Kwenye mpira kama una uwezo wa kushinda unao tu, hata kama ukijivuna.
 
Hauna lolote kujifanya unajua tuu acha tusherekee ushindi sisi hayo ya kuishia robo hayakuhusu wakati wanapambana kufika hapo walipo ulienda kutoa ushauri wa kupata ushindi? Nyie ndo wanafiki mnaosubiri kapambana katajirika mnaaza kumuwangia eti anaringa mbasubiri aanguke hahaaa kwendraaaaaaa kawashauri utopolo wenzio nao wafike hapo waringe. Hao utopolo walifika hiyo fainali sasa baada ya 93? T
 
Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).

Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.

Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.

Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.

Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.

Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful

Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.

Msije kusema hatukuwaambia.
Kelele ni moja ya vitu mhimu ktk mpira ili kuzitisha timu pinzani. Unapowakataza mashabiki wa simba kujitutumua na timu yao ni wazi hujui dhana ya ushabiki.
Uoga ni umasikini timu lazima ijiamini.Ni sababu za kutojiamini ziliiangusha el merek nyumbani kwao.

Wewe umetoa post lakini unaonekana una maumivu ya mafanikio ya simba.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Japo Jukwaa hili huwa sitokei , mini ni mshabiki wa soka ingawa sio shabiki kama miaka ya nyuma(nimepunguza sana ushabiki).

Kabla sijaendelea, niwapongezi Simba kwa ushindi waliopata na hatua waliofikia, ila niwaonye wapunguze majigambo na kujimwambafai kama ilivyokuwa kwa Mzee Baba na wasaidizi wake ambao mpaka leo hawaamini Mzee Baba hatunae tena.

Mkiendelea kunyanyua mabega na kujiona mmefika, mna hatari ya kuangukia pua katika hatua zinazofuata kama ilivyotokea mwaka 1993 katika fainali za kombe la CAF ambapo hamkuamimi kilichotokea licha ya madai kuwa kuna wachezaji walihujumu ile mechi.

Nakumbuka hata miaka ile tambo zilikuwa ni kama hizi za leo(Simba Taifa kubwa, Yanga kimataifa hawawezi, n.k) ila mwisho wa siku kilichotokea Uwanja wa Taifa wote mnakijua.

Kumbukeni hata Mzee Baba alikuwa kama nyie ila leo yuko wapi? Overcofidence, majigambo ya kupitiliza, kudharau wengine na kujiona mmefika, viitawaponza. Muwe na kias,ila mkibeba kombe, ruksa lakini sio sasa.

Mna haki ya kujipongeza na kushangilia, but too much of everything is harmful

Utani wa jadi na vijembe katika soka ni jambo la kawaida duniani kote, ila wenzetu hapa Bongo mmevunja/ mmeweka rekodi mkiongozwa na Msemaji wenu, Bwana Haji Manara.

Msije kusema hatukuwaambia.
Huu ushuzi, ukuponyoka tuu kwa bahati mbaya.
Endelea kumchukia mzee baba unenepe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom