Rocco sifredi
Member
- Jul 15, 2023
- 57
- 106
sometimes hua nashindwa kuelewa kocha benchika malengo ya kuanza na viungo 3 wakabaji kiasili ngoma,kanoute na babacar halafu mbele kuna playmaker 2 na straika 1.
Naamini/naona kuna wingers ambao wana uwezo lakini hawapewi nafasi mfano miqquesone na chasambi ukiangalia hao viungo wote sio creativity iwapo mkiwa mnacheza na timu inayozuia kama Al Ahly.
Unapocheza na timu inayopaki basi at least uwe na wachezaji wanyumbulifu wenye kasi ambao wanaweza fungua timu mfano miqquesone na chasambi halafu ukabaki na na ngoma akasimama nyuma.
Naamini kabisa simba inatakiwa ianze kutumia mawinga halisia ili walau kutengeneza connection kutoka kiungo cha juu na cha chini huku ikipunguza viungo wakabaji na saidoo atolewe kabisa.
Mwishoni timu nzima ilionekana kuchoka inonga sijui kalala wapi Leo,kibu kapambana na timu imecheza lakini ndo hivo matokeo hayaji hivi hivi lazima kuwe na mipango na wachezaji wenye creativity in case mipango imefeli ambao hawatumiki Miqquesone/ Chasambi.
NB;Ahmed ally si muda atakosa mvuto watu wanahamasika kuisupport timu kulingana na matokeo na si propaganda mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona
Naamini/naona kuna wingers ambao wana uwezo lakini hawapewi nafasi mfano miqquesone na chasambi ukiangalia hao viungo wote sio creativity iwapo mkiwa mnacheza na timu inayozuia kama Al Ahly.
Unapocheza na timu inayopaki basi at least uwe na wachezaji wanyumbulifu wenye kasi ambao wanaweza fungua timu mfano miqquesone na chasambi halafu ukabaki na na ngoma akasimama nyuma.
Naamini kabisa simba inatakiwa ianze kutumia mawinga halisia ili walau kutengeneza connection kutoka kiungo cha juu na cha chini huku ikipunguza viungo wakabaji na saidoo atolewe kabisa.
Mwishoni timu nzima ilionekana kuchoka inonga sijui kalala wapi Leo,kibu kapambana na timu imecheza lakini ndo hivo matokeo hayaji hivi hivi lazima kuwe na mipango na wachezaji wenye creativity in case mipango imefeli ambao hawatumiki Miqquesone/ Chasambi.
NB;Ahmed ally si muda atakosa mvuto watu wanahamasika kuisupport timu kulingana na matokeo na si propaganda mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona