Simba kuna vipaji havitumiki

Rocco sifredi

Member
Jul 15, 2023
57
106
sometimes hua nashindwa kuelewa kocha benchika malengo ya kuanza na viungo 3 wakabaji kiasili ngoma,kanoute na babacar halafu mbele kuna playmaker 2 na straika 1.

Naamini/naona kuna wingers ambao wana uwezo lakini hawapewi nafasi mfano miqquesone na chasambi ukiangalia hao viungo wote sio creativity iwapo mkiwa mnacheza na timu inayozuia kama Al Ahly.

Unapocheza na timu inayopaki basi at least uwe na wachezaji wanyumbulifu wenye kasi ambao wanaweza fungua timu mfano miqquesone na chasambi halafu ukabaki na na ngoma akasimama nyuma.

Naamini kabisa simba inatakiwa ianze kutumia mawinga halisia ili walau kutengeneza connection kutoka kiungo cha juu na cha chini huku ikipunguza viungo wakabaji na saidoo atolewe kabisa.

Mwishoni timu nzima ilionekana kuchoka inonga sijui kalala wapi Leo,kibu kapambana na timu imecheza lakini ndo hivo matokeo hayaji hivi hivi lazima kuwe na mipango na wachezaji wenye creativity in case mipango imefeli ambao hawatumiki Miqquesone/ Chasambi.

NB;Ahmed ally si muda atakosa mvuto watu wanahamasika kuisupport timu kulingana na matokeo na si propaganda mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona
 
Simba inatatizo la kutokuwa na viungo wanaodrive mipira na kupunguza watu, na umaliziaji pia. Tunataka wachezaji wa viungo wanaotembea na mpira kama iniesta, xavi, modrick, Sasa mchezaji akipata mpira pasi tu Hasogei hata Hatua nne
Yap matokeo yake mtu akipata mpira ni pasi tu kutembea hawezi mfano babacar sarr walau ngoma lakini na ye bado labda inatokana na waliomzunguka

Simba ambayo kwangu Mimi ni best ile iliyotolewa na kaizer chiefs tulikua na viungo wanaotembea na mpira kupunguza watu ikibidi hata mashuti ya mbali ikibidi
 
Yap matokeo yake mtu akipata mpira ni pasi tu kutembea hawezi mfano babacar sarr walau ngoma lakini na ye bado labda inatokana na waliomzunguka

Simba ambayo kwangu Mimi ni best ile iliyotolewa na kaizer chiefs tulikua na viungo wanaotembea na mpira kupunguza watu ikibidi hata mashuti ya mbali ikibidi
Benchika sikumwelewa kumwacha Sarr na kumtoa Kanoute, hii ilikua sub ya hovyo!
 
sometimes hua nashindwa kuelewa kocha benchika malengo ya kuanza na viungo 3 wakabaji kiasili ngoma,kanoute na babacar halafu mbele kuna playmaker 2 na straika 1.

Naamini/naona kuna wingers ambao wana uwezo lakini hawapewi nafasi mfano miqquesone na chasambi ukiangalia hao viungo wote sio creativity iwapo mkiwa mnacheza na timu inayozuia kama Al Ahly.

Unapocheza na timu inayopaki basi at least uwe na wachezaji wanyumbulifu wenye kasi ambao wanaweza fungua timu mfano miqquesone na chasambi halafu ukabaki na na ngoma akasimama nyuma.

Naamini kabisa simba inatakiwa ianze kutumia mawinga halisia ili walau kutengeneza connection kutoka kiungo cha juu na cha chini huku ikipunguza viungo wakabaji na saidoo atolewe kabisa.

Mwishoni timu nzima ilionekana kuchoka inonga sijui kalala wapi Leo,kibu kapambana na timu imecheza lakini ndo hivo matokeo hayaji hivi hivi lazima kuwe na mipango na wachezaji wenye creativity in case mipango imefeli ambao hawatumiki Miqquesone/ Chasambi.

NB;Ahmed ally si muda atakosa mvuto watu wanahamasika kuisupport timu kulingana na matokeo na si propaganda mpira ni mchezo wa wazi kila mtu anaona
Nilipoona DM watatu kwenye list nikajua tumekwisha.
 
Kikao cha mbumbumbu
Baada ya kuchezea kichapo kutoka kwa Ali Ali.
Haaaaaaaaaaa
FB_IMG_1711756511496.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom