Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,407
Simba ipo hoi, ni baada ya kushiba mno baada ya kumla fulani!!
Jumamosi simba sc walilitendea haki jina la mnyama simba,10 vs 11 when u are 1 nil down na bado unapata matokeo ktk game kubwa km ile inaonyesha jinsi gani mnyama ananjaa na ubingwa
Uweke kumbukumbu lknSimba asipochukua ubingwa nitatembea uchi mchana kweupe kutoka Nyumbani kwa Makondo mpaka kanisani kwa Gwajima.