<br />leo Arusha ni ufunguzi wa ligi ya Vodacom kati ya Simba na JKT Oljoro.
Okwi ameipatia Simba goli akiwa nje ya kumi na nane Simba 1
<br />Tathmini yako kwa dakika hizi za mwanzo ikoje kuhusu Mechi hiyo? <br />
-Uelekeo wa mashambulizi<br />
-Makosa ya kizembe kwa pande zote<br />
-Mpangilio wa mashambulizi nk.<br />
-Timu yako itashinda kwa bao ngapi leo?
<br /><br />
<br /><br />
JKT ndio wanaomiliki mpira kuliko Simba na wanacheza kwa kuelewana sema Simba wanatumia uzoefu ktk hizi dakika za mwanzo
<br />leo Arusha ni ufunguzi wa ligi ya Vodacom kati ya Simba na JKT Oljoro.
<br />Nitajie kikosi cha simba
kwenye msafara wa Simba na bendera za Chadema uku wakiimba Cmba, Chadema
mwe.....unanikumbusha radio TanzaniaGoooooooo,dah!kakosa pale..