Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,532
Simba leo tunapindua, matokeo, hakika tutawashangaza hatoki mtu Leo. kwa mchina ni machinjioni kwa yeyote anaye karibishwa tulianza na Swaziland mbane, akafuata nkana akaja mwarabu js soura toka Algeria,
Eee yarabi tunakuomba siku ya Leo, tusamehe pale pote tulipokosoea utusaidie tuweze kurudisha magoli yote, kama ulivyoweza kulisafisha jina la MAN CITY dhidi ya CHELSITA, tusafishe pia sisi zidi ya hao watoto wa farao....Amen.
Uyo Al ahly ndio nani???? Mpapaso square lazima umuhusu Leo.
Wazee wenzangu wa jamvi mnyama ana oddz ya point 3, unaaza anzaje kuziacha sasa. Hii mechi ni ngumu kwa al ahaly ndomana kapewa oddz ya mbili, akili Ku mkichwa kila la heli mnyama
Updates
FT Simba 1 _ All ahly 0
Mpapaso umekalimika, kuna watu mnateseka uko?
Eee yarabi tunakuomba siku ya Leo, tusamehe pale pote tulipokosoea utusaidie tuweze kurudisha magoli yote, kama ulivyoweza kulisafisha jina la MAN CITY dhidi ya CHELSITA, tusafishe pia sisi zidi ya hao watoto wa farao....Amen.
Uyo Al ahly ndio nani???? Mpapaso square lazima umuhusu Leo.
Wazee wenzangu wa jamvi mnyama ana oddz ya point 3, unaaza anzaje kuziacha sasa. Hii mechi ni ngumu kwa al ahaly ndomana kapewa oddz ya mbili, akili Ku mkichwa kila la heli mnyama
Updates
FT Simba 1 _ All ahly 0
Mpapaso umekalimika, kuna watu mnateseka uko?