Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,522
- 37,838
Kesho katika Mechi ya Simba dhidi ya Ruvu ataonekana mwamba Clotius Chota Chama (Triple C) ambaye hajaonekana uwanjani si kwa sababu ya majeraha au kiwango kushuka, ila ni kwa sababu hakusalimia wachezaji wa timu pinzani.
Sijui kanuni za TFF ila najiuliza kama Chama angekataa kumsalimia Muzamiru angepewa adhabu gani? Lakini haha hivyo tuliache hilo.
Kesho ili kuonyesha kwamba wewe mwamba wa Lusaka ni muungwana, kabla ya Mechi panda jukwaani ukawasalimie viongozi wote wa TFF watakaokuwepo, ukimaliza shuka lamsalimie Mkwasa na benchi lote la Ruvu, kisha nenda upande wa mashabiki wao wapungie mkono.
Na kwa vile Ruvu Shooting inatokea mkoa wa Pwani, ukionana na mtu yeyote anayetoka Kibaha mpe shikamoo yake, yasije yakakukuta tena yaliyokukosesha nafasi ya kutumikia timu yako.
Sijui kanuni za TFF ila najiuliza kama Chama angekataa kumsalimia Muzamiru angepewa adhabu gani? Lakini haha hivyo tuliache hilo.
Kesho ili kuonyesha kwamba wewe mwamba wa Lusaka ni muungwana, kabla ya Mechi panda jukwaani ukawasalimie viongozi wote wa TFF watakaokuwepo, ukimaliza shuka lamsalimie Mkwasa na benchi lote la Ruvu, kisha nenda upande wa mashabiki wao wapungie mkono.
Na kwa vile Ruvu Shooting inatokea mkoa wa Pwani, ukionana na mtu yeyote anayetoka Kibaha mpe shikamoo yake, yasije yakakukuta tena yaliyokukosesha nafasi ya kutumikia timu yako.