Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,329
- 115,336
Doooooh!
Tunataka za ndani ya Uwanja. ππππ
Doooooh!
Uko Makini Na Simba Sport Club Usijal Utazipata Picha Endelea KutufatiliaYanakuja saa ngapi. Nyie ndio mlikuwa mnawaka oooh. eti uwanja tuliujaza jioni.
Haya nyie mnaojaza asubuhi picha ziko wapi? Tupieni picha tuone mana yaenda saa saba.
Usitume sasa iv ili waendelee kutoa maneno ya shombo halafu tunawaumbua
Hahahaaaa. Ndio ndio.Uko Makini Na Simba Sport Club Usijal Utazipata Picha Endelea Kutufatilia
HatersKILA LA HERI POWER DYNAMOS FC
Wacheni Woga tumeni picha tuone.Usitume sasa iv ili waendelee kutoa maneno ya shombo halafu tunawaumbua
Mda wa chakula mama nenda kale kwanzaWacheni Woga tumeni picha tuone.
Ujue ni mwaka wa 10 huu sasa mnaogopa nini mpaka mtupe picha jua la kuchwa. zitumeni muda huu ili si tulio Nanjilinji tuwe tunajua nini kinaendelea huko DSM.
Hahahaaa. Umefanya nimecheka lol.Mda wa chakula mama nenda kale kwanza
ππππHaters
Tumekuelewa wachache,, kwi kwi kwiSimu yangu imepasuka kioo kwa juu hivyo nimeshindwa kuona kilichoandikwa.
Lakini kwa kusoma comment ya mwisho huku chini, nami naungana na familia kuwapongeza maharusi.
Niwatakie ndoa njema na ya baraka tele.
Hahaha basi usende tena ila nisindikize uwanjani shoga anguNaona wananichosha tu wale. πππ
Wallah nimecheka una nini lakiniSimu yangu imepasuka kioo kwa juu hivyo nimeshindwa kuona kilichoandikwa.
Lakini kwa kusoma comment ya mwisho huku chini, nami naungana na familia kuwapongeza maharusi.
Niwatakie ndoa njema na ya baraka tele.
Hahaaaa. Wataka nikapigwe mdogo wangu mana ikitokea wamefungwa nadhani Uwanja mzima mi ndio ntasimama kushangilia goli la wapinzani. ππππHahaha basi usende tena ila nisindikize uwanjani shoga angu
Tutaujaza mtaan usiwe na hofuHahahaaa. Umefanya nimecheka lol.
Nyota njema uonekana asubuhi na kwa hali hiyo upande wa kujaza uwanja leo musubiri maumivu.
Kwani palipakwa rangiMikia bana...nimepita taifa hapo ni peupee