barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,324
- 29,586
Kwa lipi? Nyie kwenu sio penati ile?Eti wamshukuru Refa....
Kwa lipi? Nyie kwenu sio penati ile?Eti wamshukuru Refa....
Acha ushabiki wewe, sio penati kivipi? Hivi inawezekana mpira ambao uliguswa ukiwa na uelekeo wa kimo cha mbuzi ukielekea nje ghafla ukatua mguuni? Uligonga mkono ndo maana ulishuka mguuni.ah mbao wameonewa Ile sio penalt kabisa hawa marefa sijui wanawaokota wapi.Hawa wanadumaza soka letu bullshit!
Mimba abebeshwe mwingine, uchungu upate wewe!!Mbelekoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
SIMBA SIMBA SIMBA NI FURAHAAAAA TELEEE
Nyie mlishashuka, leo ni zamu yetu!Kama kawaida yetu Bongo kubebana
Hizo timu zilizokuwa zinaenda kihalali, kuna kipi cha maana walichokifanya?!Kwa kweli ndio maana timu zetu huwa hazifiki mbali kwenye michuano ya kimataifa kwa sababu zinafuzu kwa kubebwabebwa tu. Angalia penalti waliopewa simba hivi kweli ni penalti halali?
simba mbele daima nyuma mwiko
Si ndio hapo,kinachowauma sijui ni nn.Ubingwa Ubingwa tu endeleeni kujadili uhalali wa penati maana mimba wamepewa mbao uchungu mnapata nyie vyura fc
Fake..!
Ndala niaje.. Nasikia mmepewa barua fake kutoka FIFATutatumiaje Tennis mkuu!
Sisi ni wapambanaji Uwanjani?
Nasikia Barua yenu kutoka FIFA Imewasili mchana huu..Ingia mitandaoni uione.
Mtajua wenyewe sisi kombe tushalipeleka strong room na 84m tumegidaFake..!
Mmedanganywa na Kitenge kama kombe Simba tunaloMtajua wenyewe sisi kombe tushalipeleka strong room na 84m tumegida
Kikubwa ni 84mMmedanganywa na Kitenge kama kombe Simba tunalo
Hata hela tumekuzidi mkuu.. VPL ml 42 na ASFC ml 50 total 92Kikubwa ni 84m
Rage hakukosea, huo ndio umbumbumbu wa mashabiki wa Simba. Hivi ni vizuri gani mlivyowahi kufanya nje ya hii nchi nyie RUFAA FC?Sisi tutapanda na kufanya vzr, sio nyie kila mkitia mguu out...