Simba atapigwa goli 1 na Jwaneng Gallaxy na kutolewa mashindanoni

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
2,417
5,295
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
baba GOD saidia Jwaneng...eemeeen!
 
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
hapana tuwape moyo simba washinde

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye ulimwengu wa roho tumepambana kumpa Simba ushindi ili afuzu lakini imeshindikana

Amefungwa goli dakika ya 73 kwa kichwa, huku Chama akikosa penalty dakika ya 89

Mpira umekwisha na Simba ametolewa Imeniuma lakini ndo hivyo hatuna jinsi, sisi wanasimba

Tarehe 2 March mtatazama marudio kwenye ulimwengu wa roho ni Simba 0- jwaneng 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheikh Yahya unazingua
 
Back
Top Bottom