Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Umeme wa REA ni muhimu kwani utaleta maendeleo vijijini. Lakini Elimu ya kutosha yafaa itolewe kwa jamii ili kuwaepusha na athari zinazoweza kujitokeza!
Morani mmoja Simanjiro alitamani waya unaoshikilia nguzo ya umeme ardhini. Aliukata chini, na kuanza kuukung'uta ili udondoke akatengenezee bangili za miguuni & mikononi.
Wakati akiwa kwenye juhudi za kuuchukua, waya ule uligusana na nyama za umeme na kumsababisha morani kupoteza maisha baada ya kupigwa shoti.
Morani mmoja Simanjiro alitamani waya unaoshikilia nguzo ya umeme ardhini. Aliukata chini, na kuanza kuukung'uta ili udondoke akatengenezee bangili za miguuni & mikononi.
Wakati akiwa kwenye juhudi za kuuchukua, waya ule uligusana na nyama za umeme na kumsababisha morani kupoteza maisha baada ya kupigwa shoti.