Walioona watawasimulia wenzao ukisubili Tanesco waje kutoa elimu utasubili sana.Pumzika salama Morani..
Kuna kila sababu ya kuelimisha jamii kuhusu vitu vya hatari..
Hiyo pia ni moja ya elimu lakini hatuna sababu ya kusubiri majanga yatuelimishe..Walioona watawasimulia wenzao ukisubili Tanesco waje kutoa elimu utasubili sana.
haya mambo ufaham wee dogoo huko pangon mnatumia mwanga wa mwezLeo hujanywa gongo
Nyie ndio wale wale waliomuona mtu mmoja na wamasai wawili............mmasai na mwananchi ni tofauti sana !