SIM card is locked

Pusha T

Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
64
Reaction score
22
Jaman wadau nauliza Kama inaezekana kurudisha line iliyofungiwa toka mwaka Jana to be specific ni line yangu ya tigo ilifungiwa sababu ya kutokusajili kwa kitambulisho cha taifa ila sasa nna kitambulisho.
 
Jaman wadau nauliza Kama inaezekana kurudisha line iliyofungiwa toka mwaka Jana to be specific ni line yangu ya tigo ilifungiwa sababu ya kutokusajili kwa kitambulisho cha taifa ila sasa nna kitambulisho.
Inawezekana kabisaaa
 
Inawezekana. Iwapo tu namba yako hatumii mtu mwingine sasa ivi.
 
Jiridhishe Wewe Mwenyewe
Piga Hiyo Kujua Kama Haitumiki Na Mtu Mwingine
 
Kama una PUK itumie kuifungua simu yako.

Otherwise wapigie customer care wa mtandao unaoutumia kwa kutumia simu ingine kuomba wakupe PUK mpya utakayotumia kufungulia line yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…