Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,959
- 70,694
Bank ya Equity haina option ya kutuma hela kwenda /kutoka bank kupitia mtandao wa Halotel...usumbufu Sana!. Wahusika angalieni Hili suala!
Mkuu Equity Bank walisharekebisha hii issue?! Maana nina mpango Wa kujiunga na hii bank tatizo natumia sim card ya halotel pia?! Mbona umoja ATM wana access nazo ?!Bank ya Equity haina option ya kutuma hela kwenda /kutoka bank kupitia mtandao wa Halotel...usumbufu Sana!.
Wahusika angalieni Hili suala!
Hawajarekebisha...nikaamua kutumia Airtel...yaan halotel hakuna optn ya equity bank..Mkuu Equity Bank walisharekebisha hii issue?! Maana nina mpango Wa kujiunga na hii bank tatizo natumia sim card ya halotel pia?! Mbona umoja ATM wana access nazo ?!
Mmmh, Kazi ipo, itabibidi nisajiri line nyingine bila kupenda sasa,Hawajarekebisha...nikaamua kutumia Airtel...yaan halotel hakuna optn ya equity bank..