Twamo
JF-Expert Member
- May 27, 2017
- 2,881
- 4,993
Aisee muulize huyo jamaa na wenzie wa kule mchangani! Kama ni aibu katika soka hilo ni tatizo la Taifa zima! Wamesahau ile aibu waliyotuletea toka kwa Liboro!Twende pole pole braza aibu gani unayoizungumzia hapo?