Silinde Kawaonya Wassira, Sitta na Pinda wasithubutu kuwania urais maana hata kura za maoni kwao ni ngumu kupita na hata wakipitishwa hawatapata Urais huku kwa wananchi.
Silinde ameyasema hayo Bungeni na amewataka wapumzike
Silinde alisema "Eti PM anasema akistaafu anataka awe mfuga nyuki. huwezi kuwa Waziri Mkuu halafu unawaza ukistaafu unasema unaenda kufuga nyuki, huku ni kuleta umaskini tu kwa kiongozi kama huyu".
Silinde ameyasema hayo Bungeni na amewataka wapumzike
Silinde alisema "Eti PM anasema akistaafu anataka awe mfuga nyuki. huwezi kuwa Waziri Mkuu halafu unawaza ukistaafu unasema unaenda kufuga nyuki, huku ni kuleta umaskini tu kwa kiongozi kama huyu".