Silinde awavaa Wasira, Sitta na Pinda

Silinde awavaa Wasira, Sitta na Pinda

Makaratee

Member
Joined
Oct 17, 2014
Posts
36
Reaction score
9
Silinde Kawaonya Wassira, Sitta na Pinda wasithubutu kuwania urais maana hata kura za maoni kwao ni ngumu kupita na hata wakipitishwa hawatapata Urais huku kwa wananchi.

Silinde ameyasema hayo Bungeni na amewataka wapumzike

Silinde alisema "Eti PM anasema akistaafu anataka awe mfuga nyuki. huwezi kuwa Waziri Mkuu halafu unawaza ukistaafu unasema unaenda kufuga nyuki, huku ni kuleta umaskini tu kwa kiongozi kama huyu".
 
'Silinde!' mbona hilo jina kwangu ni geni? wakuu naomba mnisaidie huyo ni mbunge wa wapi na anawakilisha chama gani.
 
Wasira anajidaia zile kura za bora liende za 2012 hivi anafikiri kwenye jambo makini kuna mtu wa kumchagua Wasira seriously?
 
Silinde Kawaonya Wassira, Sitta na Pinda wasithubutu kuwania urais maana hata kura za maoni kwao ni ngumu kupita na hata wakipitishwa hawatapata Urais huku kwa wananchi.

Silinde ameyasema hayo Bungeni na amewataka wapumzike

Silinde alisema "Eti PM anasema akistaafu anataka awe mfuga nyuki. huwezi kuwa Waziri Mkuu halafu unawaza ukistaafu unasema unaenda kufuga nyuki, huku ni kuleta umaskini tu kwa kiongozi kama huyu".
pia tunapaswa kuwaza tena Pinder anahangaika na nyuki na ndo anautaka urais,hivi dunia ya sasa ni ya kuhamasisha kuhangaika na nyuki kweli????
 
'Silinde!' mbona hilo jina kwangu ni geni? wakuu naomba mnisaidie huyo ni mbunge wa wapi na anawakilisha chama gani.

huyu jamaa alimaliza UDSM 2010,KISHA akaenda kwao akagombea ubunge (Mbozi Magharibi) kwa tiketya CHADEMA
 
Silinde ni punguani,hana ufahamu wa faida ya biashara ya ufugaji nyuki na mazao yake.Akae kimya anajidhalilisha
 
Hawa viongozi magamba wana mavi kichwani, wameona shughuli ya ufugaji ni ya watu waliozeeka, wamechoka na waliokosa madaraka, hawajui ufugaji ni kazi kama zingine na hata wafugaji wakizeeka wanastaafu? profesa anataka kuchunga ng'ombe, P.M anataka kufuga nyuki, Lukuvi atakuja kutuambia anafuga mbwa wa biashara na wasira arudi ziwani akavue samaki. kwa uwezo wao wa kufikiri si ajabu nchi kuendelea kuwa maskini.
 
Hawa viongozi magamba wana mavi kichwani, wameona shughuli ya ufugaji ni ya watu waliozeeka, wamechoka na waliokosa madaraka, hawajui ufugaji ni kazi kama zingine na hata wafugaji wakizeeka wanastaafu? profesa anataka kuchunga ng'ombe, P.M anataka kufuga nyuki, Lukuvi atakuja kutuambia anafuga mbwa wa biashara na wasira arudi ziwani akavue samaki. kwa uwezo wao wa kufikiri si ajabu nchi kuendelea kuwa maskini.

Mkuu umesahau Wasira kama yupo pale Serengeti karibu tu?
 
'Silinde!' mbona hilo jina kwangu ni geni? wakuu naomba mnisaidie huyo ni mbunge wa wapi na anawakilisha chama gani.
Umejuaje kama mbunge? Ukinijibu hili ntakwambia ni mbunge wa wapi?
 
Hiyo chai ni haki kunywewa na kila mtu kwani inatokana na kodi za Watanzania wote wawe wa CCM ,CUF ,Chadema .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom