Silinde awavaa Wasira, Sitta na Pinda

Silinde awavaa Wasira, Sitta na Pinda

ule jamaa wa maneno machafu ....au mwingine. (Rejea uchaguzi mdogo Arumeru).
 
Silinde umesahau kuwa waonaochagua viongoz ni wananch na wala si wewe.watanzania wanawaamini hao viongoz kwa kazi wanazo fanya kwa maendeleo ya nch yetu.huwez kujlinganisha na uwezo waviongoz hao hususan MH WASIRA uwezo wake ni mkubwa sana uvimbe upasuke WASIRA ndo rais wako 2015.
 
Silinde umesahau kuwa waonaochagua viongoz ni wananch na wala si wewe.watanzania wanawaamini hao viongoz kwa kazi wanazo fanya kwa maendeleo ya nch yetu.huwez kujlinganisha na uwezo waviongoz hao hususan MH WASIRA uwezo wake ni mkubwa sana uvimbe upasuke WASIRA ndo rais wako 2015.
Sipati picha huyu jamaa akiupata urais kisha akawa anapiga route za ugaibuni km le profeseri anaweza akawa kivutio kikubwa sana kwa wazungu
 
Sipati picha huyu jamaa akiupata urais kisha akawa anapiga route za ugaibuni km le profeseri anaweza akawa kivutio kikubwa sana kwa wazungu

Kiongoz sio sura bali ni uchapa kaz na kuendeleza uchumi wa nch,Amani,umoja na mshikamano.kuwa mwelewa
 
Ni mbunge wa Mbozi magharibi kupitia CHADEMA.

Mwanga,yaani mbozi kulivyojaa matatizo kibao ndio akae anapoteza muda kuulizia habari za tembo wa Arusha kwani Arusha hakuna mbunge wa kuuliza hilo? Nawapenda wabunge wa Kenya ukiuliza swali la kwenye eneo lisilokuhusu yule mwenye jimbo lake anainuka saa hiyo hiyo na kuja kukutwaga mingumi na miteke kuwa unamwingilia kwenye jimbo lake.

Lakini hii ni tabia ya wabunge wa CHADEMA huwezi wasikia wakiulizia habari za majimbo yao. Kutwa Utawasikia wanaongelea IPTL,EPA,DOWANS,RICHMOND au hoja hewa hewa za nchi .Mi huwa sielewi wamefata nini bungeni na ni wabunge wanaomwakilisha mwananchi wa wapi? Maana hutawasikia wakiongelea ya majimboni kwao.
 
Hawa viongozi magamba wana mavi kichwani, wameona shughuli ya ufugaji ni ya watu waliozeeka, wamechoka na waliokosa madaraka, hawajui ufugaji ni kazi kama zingine na hata wafugaji wakizeeka wanastaafu? profesa anataka kuchunga ng'ombe, P.M anataka kufuga nyuki, Lukuvi atakuja kutuambia anafuga mbwa wa biashara na wasira arudi ziwani akavue samaki. kwa uwezo wao wa kufikiri si ajabu nchi kuendelea kuwa maskini.

We need a vibration presendent siyo huyo msinziaji bungeni na mtoa machozi! Wapumzike tu.
 
Mkuu umesahau Wasira kama yupo pale Serengeti karibu tu?

Na kweli huyu aende tu mbugani setengeti maana na yeye ile sura ni kivutio tosha cha watalii atasaidia kuitangaza nchi kuwa na mnyama wa kipekee ambae hakuna mahali popote pengine.
 
Mkuu umesahau Wasira kama yupo pale Serengeti karibu tu?

Ni kitu cha ajabu kwa mtu aliye na akili timamu !!

kwani kwenye maelezo hapo juu amesema anapambana nao au atapambana nao???

Wasira anajidaia zile kura za bora liende za 2012 hivi anafikiri kwenye jambo makini kuna mtu wa kumchagua Wasira seriously?

Silinde Kawaonya Wassira, Sitta na Pinda wasithubutu kuwania urais maana hata kura za maoni kwao ni ngumu kupita na hata wakipitishwa hawatapata Urais huku kwa wananchi.

Silinde ameyasema hayo Bungeni na amewataka wapumzike

Silinde alisema "Eti PM anasema akistaafu anataka awe mfuga nyuki. huwezi kuwa Waziri Mkuu halafu unawaza ukistaafu unasema unaenda kufuga nyuki, huku ni kuleta umaskini tu kwa kiongozi kama huyu".

Hivi nyie Vijana kwa akili za kawaida mnaweza kupambana na Mheshimiwa Wassira, kwa akili zenu combined, kumfikia hata robo tu, The person who is Intelligent, Giant,Great Thinker and Famous Politician like him.

Silinde na nyie wote hmuwezi kuargue na Sitta au Wassira, hakuna mdahalo ambao utakaofaa silinde ajenge hoja mbele ya Sitta au Wassira,
Hakuna Jukwaa ambalo huyo dogo anaweza kupanda na Wassira akatoka kama hero!
Hata kumjadili ni kupoteza muda, poor him.

Hao sio size yake kabisa, kawaulize ukawa what happen siku chache nyuma wakati wa Bunge la Katiba na Midahalo iliyolindima.

Kama Tundu Lissu alinyanyua Mikono mbele ya Wassira, huyu dogo wa Majengo mapya Uyole atafanya nini?.
Aibuu tupu.
 
Hivi Silinde ni nani?

Kwakuwa hata hafahamiki basi yeye ni bams tu au mfano wa tuta na Wassira,Pinda na Sitta ni Mlima Kilimanjaro, huyo mbilikimo Shilinde hawezi kuupanda.
 
Hivi nyie Vijana kwa akili za kawaida mnaweza kupambana na Mheshimiwa Wassira, kwa akili zenu combined, kumfikia hata robo tu, The person who is Intelligent, Giant,Great Thinker and Famous Politician like him.

Silinde na nyie wote hmuwezi kuargue na Sitta au Wassira, hakuna mdahalo ambao utakaofaa silinde ajenge hoja mbele ya Sitta au Wassira,
Hakuna Jukwaa ambalo huyo dogo anaweza kupanda na Wassira akatoka kama hero!
Hata kumjadili ni kupoteza muda, poor him.

Hao sio size yake kabisa, kawaulize ukawa what happen siku chache nyuma wakati wa Bunge la Katiba na Midahalo iliyolindima.

Kama Tundu Lissu alinyanyua Mikono mbele ya Wassira, huyu dogo wa Majengo mapya Uyole atafanya nini?.
Aibuu tupu.

Haya mama Wassira
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom