Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,979
- 134,098
Kamanda Silinde amehoji juu ya utoroshwaji wa pembe za ndovu na Mchina wa JK,ameomba muongozo kwa spika.Membe ameanza kwa kumfagilia mchina na kusema ni uzushi.Amesema kuwa taarifa ni ya kuunga-unga kwa ajili ya kuichafua nchi.Hoja yangu :Naomba kujuzwa kabla ya jana ni lini Membe alifanya uchunguzi kama Mchina hakuondoka na ndovu.hili nadhani Mh.Silinde angelihoji pia.Maana waliotoa kashfa wamefanya uchunguzi.