Kazamia mgodi wa kiwira! Akakutana na makaa ya mawe!Wanawake wenyewe hawa wa digital alafu unajipeleka ovyo ovyo.
Na itakuwa umelamba wazungu wa kidume mwenzio.
Ndo akili ikukae sawa siku nyingine.
Kwanza sahizi wenzio wana futru wewe kazi ya kuzamia migodi ya watu tu..
Haya mambo waachieni wanaume wa Dar jamani, kuingilia fani za watu siyo vizuri!




Yaaan kla shmo unataka kuzama, sasa hyo ndo makinikia og sasa. Pole.




Wanawake wenyewe hawa wa digital alafu unajipeleka ovyo ovyo.
Na itakuwa umelamba wazungu wa kidume mwenzio.
Ndo akili ikukae sawa siku nyingine.
Kwanza sahizi wenzio wana futru wewe kazi ya kuzamia migodi ya watu tu..




Niambie my king
Kazamia mgodi wa kiwira! Akakutana na makaa ya mawe!
yeuwiiii khaaa asee we noumahMatatizo ya kupalamia ovyo ovyo huko.Niambie my king
umeonaee Alf bila aibu anakuja kusema hukummmhKuzama chumvini hakujawahi kumwacha mtu salama
Likabolik acid,, what,,,, Are you serious mrBora nizidi kuonekana wa mkoani tu,sina hamu ya chakula leo.
Medula oblangata hadi sasa hivi imepalarize kabisa na ulimi umepoteza test zote(tamu,chachu na chungu).Leo nimekutana na mchongoma ambao umenimwagia tindikali ya likaboriki acid.
Sijui nikamweleze vipi daktar juu ya huu ulimi kupoteza ladha zake,akina dada chondechonde mtatuangamiza