fangfangjt
JF-Expert Member
- Apr 25, 2008
- 571
- 139
kuna tetesi silaha nyingi za jeshi letu ziliibiwa Uganda baada ya vita na Idd Amin. Hawakua na documents zinazo onyesha zimenunuliwa lini , kwa nani wala zina expire lini.
Ndio maana hawajajua namna ya kuzitunza
Ndio maana hawajajua namna ya kuzitunza