Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,173
- 190,742
Anaitekelezaje hii manipulation?Silaha ya mwanamke ni "manipulation"
Anaitekelezaje hii manipulation?Silaha ya mwanamke ni "manipulation"
Tafuta maana ya hilo neno, utagundua ndicho kitu wanawake wanakifanya kwa ustadi mkubwa.Anaitekelezaje hii manipulation?
MvutoNimekaa nikawaza hili nisipate jibu sahihi. Najia silaha ya mtoto ni kulia. Silaha ya mwanaume ni pesa. Silaha ya mwanamke ni ipi. Nimejaribu kuwazua nikadhani ni utii. Naomba mtazamo wako tafadhali
Asipolindwa huwindwa.Asipolindwa hufanyaje?
Nilitaka tu uniambie Verbally and Non-Verbally basi ushashindwa mtihani.Tafuta maana ya hilo neno, utagundua ndicho kitu wanawake wanakifanya kwa ustadi mkubwa.
Yaani mwanamke ni wa kulialia tu na kujinyong'onyeza, mweh not meMaombi na Utii
AhsanteKama.ulilelewa na Mama yako...hakuna alicho offer...ulikua unafaidika Nini na papuchi ya Mama ako?... Alikujali, alikuhudumia,alikufulia,alikubembeleza alikube mgogoni,.. akakupikia akakulisha, akakuogesha ..akakufundisha Mengi...wengine waliwasomesha kwa jasho na Damu...
Leo hii KWAKUa TU una mboo inasimama unachoona kwa mwanamke Ni papuchi TU.
Akili za KUWAZA ngono...haya ndo matokeo Yake. Upumbafu umekujaa
Mkuu hyo avatar yako hiko ni kinn?? Nimeangalia mara sabaMaombi
Ushawishi
Hata Mimi sijui ni Nini.Mkuu hyo avatar yako hiko ni kinn?? Nimeangalia mara saba
Aisee umenena yaliyo ya kweli hawa viumbe wapo kwa ajili ya kutuburudisha.....silaha ya mwanamke ni papuchi,
mwanamke hana cha kuoffer zaidi ya papuchi
Ohoo!samahani mkuu, hiyo uliyoitaja ni yakumkinga dhidi ya Adui au yakumshambulia adui!?
naona hampo serious ndo maana mnazunguka zunguka, silaha ya mwanamke ni papuchi tu hamna kingine