I am also exercising my freedom of speech.Calm down he's just maintaining his freedom of speech![]()
Sema papuchiMaombi
Ushawishi
Inazungumziwa mke kwa mmewe..sio mama kwa mtoto wala baba kwa mtoto.elewa tofauti.Kama hvyo basi baba nae anafanya mengi sana kuanzia mimba kuvumilia vimbwenga mpk mtoto yuko chuo...ila ktk mahusiano mwanamke ana offer nn kwa mmewe?...Kama.ulilelewa na Mama yako...hakuna alicho offer...ulikua unafaidika Nini na papuchi ya Mama ako?... Alikujali, alikuhudumia,alikufulia,alikubembeleza alikube mgogoni,.. akakupikia akakulisha, akakuogesha ..akakufundisha Mengi...wengine waliwasomesha kwa jasho na Damu...
Leo hii KWAKUa TU una mboo inasimama unachoona kwa mwanamke Ni papuchi TU.
Akili za KUWAZA ngono...haya ndo matokeo Yake. Upumbafu umekujaa
Nimekuelewa sasa. Lakini unadhani ni kila mwanamke ana ushawishi?Mungu ametupa jukumu la kuomba
Maombi ndiyo kinga yetu kubwa.
Angalia Mfano wa Mama Maria,mama wa Yesu anavyotumika kumuomba Yesu azidishe Divai
Mungu ameweka nguvu kubwa ya ushawishi ndani yetu,.
•Angalia mfano wa Eva pale Bustani ya Edeni
•Ester jinsi alivyosimama kidete kuwatetea Wayahudi dhidi ya waraka uliowataka wauawe
•Delilah pia alivyomshawishi Samson
Ni kweli kabisa CreditHata ushauri hawezi hata kukupikia chakula...akakuhudumia ukiwa MGONJWA... akakutia moyo na kukuonea huruma..
Mwanamke Ni zaidi ya papuchi...Ila wanaume wengi KWAKUWA wanawaza ngono KILA muda..huwa na mawazo yako.
Wanawake wote wana nguvu ushawishiNimekuelewa sasa. Lakini unadhani ni kila mwanamke ana ushawishi?
aiseeeeInazungumziwa mke kwa mmewe..sio mama kwa mtoto wala baba kwa mtoto.elewa tofauti.Kama hvyo basi baba nae anafanya mengi sana kuanzia mimba kuvumilia vimbwenga mpk mtoto yuko chuo...ila ktk mahusiano mwanamke ana offer nn kwa mmewe?...




Asipolindwa hufanyaje?Mwanamke hana silaha hulindwa na kusimamiwa na mwanamme.