Mimi sijasoma KWA MKOPO wala sijawah omba MKOPO elimu ya juu#HESLB
Nakwatwa pesa na nimeorodheshwa katika ORODHA ya wanufaika,ajabu hawana hata detail zangu za elimu yangu!
Nilifika ofisi kwao walinijibu kuwa walichanganya majina, so niingie kwenye mfumo wao wanirefund pesa yangu wasitishe makato
Ajabu mwezi uliofuata wamekata tena na kuongeza makato zaidi😀
Hivi nipo kwenye mchakato nimefungua kesi!!!kupinga huu upuuzi!
Nakwatwa pesa na nimeorodheshwa katika ORODHA ya wanufaika,ajabu hawana hata detail zangu za elimu yangu!
Nilifika ofisi kwao walinijibu kuwa walichanganya majina, so niingie kwenye mfumo wao wanirefund pesa yangu wasitishe makato
Ajabu mwezi uliofuata wamekata tena na kuongeza makato zaidi😀
Hivi nipo kwenye mchakato nimefungua kesi!!!kupinga huu upuuzi!