SIKUPENDIIII : I don't love you.

SIKUPENDIIII : I don't love you.

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,128
mtu unamtangazia nia,anakusikiliza,mwisho anakukubalia,anakiri kukupenda pia,anakuonyesha upendo,anakujali,anajisikia faraja hata mbele ya rafiki zake anakutambulisha,anakukabidhi kila kitu kwenye mwili wake.
SASA UTATA:inakuwaje msichana leo anakutamkia kuwa HAKUPENDI,she doesn't love you.
Kama ndivyo kwa nini akufanyie mambo yenye kukuonyesha upendo wakati hakupendi?
Hivi wadada huwa mnamaanisha kweli kuwa hamtupendi?kwa nini awali mnasema mnatupenda na baadae mnabadilika?Tuelewe lipi na tuamini lipi?
 
Sumu ya mapenzi ni maudhi, inawezekana alikuwa anakuonesha mapenzi na alikuwa anakupenda kweli ukamfanyia dharau kwa kujiona wa maana sana. Mapenzi yameisha sasa, uliyamaliza mwenyewe
 
Siku hizi sidhani kama asilimia kubwa ya watu wanajua hata LOVE ni nini?Na neno I LOVE YOU linatumika vibaya mno,halina thamani kabisa...:disapointed:
 
mdau utambue kuwa katika mahaba,ya kileo kuna changamoto sana,uwe makini sana kwenye mahusiano,lakini c vibaya ukawaza na side B uwapo kwenye mahusiano
 
mtu unamtangazia nia,anakusikiliza,mwisho anakukubalia,anakiri kukupenda pia,anakuonyesha upendo,anakujali,anajisikia faraja hata mbele ya rafiki zake anakutambulisha,anakukabidhi kila kitu kwenye mwili wake.
Huyu alikuwa anamihemko tu sio mapenzi[sio upendo]

SASA UTATA:inakuwaje msichana leo anakutamkia kuwa HAKUPENDI,she doesn't love you.
Ni kweli alikuwa hakupendi
Hukuelewa tu

Kama ndivyo kwa nini akufanyie mambo yenye kukuonyesha upendo wakati hakupendi?
Hayo ni mambo yanayoonesha mapenzi sio upendo!

Hivi wadada huwa mnamaanisha kweli kuwa hamtupendi?
Inawezekana ikawa kweli hawakuwa wanamaanisha kutupenda!

kwa nini awali mnasema mnatupenda na baadae mnabadilika?Tuelewe lipi na tuamini lipi?

Jifunze kupenda ni nini
Jifunze mapenzi ni nini

Hutapata taabu kaisa na hawa watu!
 
Ni kwamba halipendi dushelele lako .......................!:becky:
 
Unajua wakaka mnadharau sana hasa mnapoona mnapendwa......... kwaiyo uvumilivu wa kudharauliwa ukiisha nabwaga manyanga........ ila ujue kuwa wanaotamani niwengi na wependaji ni wachache.
 
mtu unamtangazia nia,anakusikiliza,mwisho anakukubalia,anakiri kukupenda pia,anakuonyesha upendo,anakujali,anajisikia faraja hata mbele ya rafiki zake anakutambulisha,anakukabidhi kila kitu kwenye mwili wake.
SASA UTATA:inakuwaje msichana leo anakutamkia kuwa HAKUPENDI,she doesn't love you.
Kama ndivyo kwa nini akufanyie mambo yenye kukuonyesha upendo wakati hakupendi?
Hivi wadada huwa mnamaanisha kweli kuwa hamtupendi?kwa nini awali mnasema mnatupenda na baadae mnabadilika?Tuelewe lipi na tuamini lipi?
Ukiona hivyo jua amekutana na boya ambaye anamfanyia anavyovitaka...nina maana amekutana na mwenye udhaifu zaidi yako ambaye atamshika masikio amfanyie anachota dem..,.,madem wanapenda watu wadhaifu kwao ili wapate kila wanachotaka...
 
Siku hizi sidhani kama asilimia kubwa ya watu wanajua hata LOVE ni nini?Na neno I LOVE YOU linatumika vibaya mno,halina thamani kabisa...:disapointed:

Haya matumizi mabaya ya neno nakupenda ndo yanaleta tabu na mkanganyiko.
 
Ukiona hivyo jua amekutana na boya ambaye anamfanyia anavyovitaka...nina maana amekutana na mwenye udhaifu zaidi yako ambaye atamshika masikio amfanyie anachota dem..,.,madem wanapenda watu wadhaifu kwao ili wapate kila wanachotaka...

Ukimuacha kesho yake anakuja mpoleeee tena hadi analia kukuomba msamaha na anakuambia anakupenda.
 
Yap mtu anakujibu I LOVE YOU TOO just because you said I LOVE YOU...while they dont even mean it or feel it...

Je wale ukimuacha baada ya kukutamukia kuwa hakupendi na kesho anakuja analia umsamehe wao tuwaweke kundi gani?
 
Sumu ya mapenzi ni maudhi, inawezekana alikuwa anakuonesha mapenzi na alikuwa anakupenda kweli ukamfanyia dharau kwa kujiona wa maana sana. Mapenzi yameisha sasa, uliyamaliza mwenyewe

Asante sana,
 
Back
Top Bottom