daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
ukiona hivo jua kule kakuta ni ngangari si kama alivyowaza mwanzo...Ukimuacha kesho yake anakuja mpoleeee tena hadi analia kukuomba msamaha na anakuambia anakupenda.
ukiona hivo jua kule kakuta ni ngangari si kama alivyowaza mwanzo...Ukimuacha kesho yake anakuja mpoleeee tena hadi analia kukuomba msamaha na anakuambia anakupenda.
amini neno la mwisho... kuwa hakupendi.... and life must go on!
True love is shown by deeds not by words.mtu unamtangazia nia,anakusikiliza,mwisho anakukubalia,anakiri kukupenda pia,anakuonyesha upendo,anakujali,anajisikia faraja hata mbele ya rafiki zake anakutambulisha,anakukabidhi kila kitu kwenye mwili wake. SASA UTATA:inakuwaje msichana leo anakutamkia kuwa HAKUPENDI,she doesn't love you. Kama ndivyo kwa nini akufanyie mambo yenye kukuonyesha upendo wakati hakupendi? Hivi wadada huwa mnamaanisha kweli kuwa hamtupendi?kwa nini awali mnasema mnatupenda na baadae mnabadilika?Tuelewe lipi na tuamini lipi?
Mtu akiwa na hasira anaropokwa vitu vya ajabu sana ambavyo anaweza kujutia baadae...Na kama mtu anajijua yupo hivo bora aepuka kusema lolote..THINK BEFORE YOU SPEAK!!!Je wale ukimuacha baada ya kukutamukia kuwa hakupendi na kesho anakuja analia umsamehe wao tuwaweke kundi gani?
hakuna kitu kibaya km makwazo ktk mahusiano, na upendo hupoa yanapotukia mara kwa mara either kwa kuhis unafanyiwa kusudi or unahis umechokwa..
hisia hizo zinapokuganda lazima utatoa hitimisho hilo
Nilichokitegeme sicho nilichokikuta sasa kwanini nikomae penye hamna???????
Ukiachana nae anakuja kuomba msamaha.
Kwanini utarajie kitu usichojua kama kipo?
Haya matumizi mabaya ya neno nakupenda ndo yanaleta tabu na mkanganyiko.
Side B mwisho ataumia tu,kwa nini ufanye hivyo?