Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,875
amini neno la mwisho... kuwa hakupendi.... and life must go on!
Hivi anatujua au anatusikia.......kuna vitu vidogo sana kuweza kumchukia mtu......tena kwa muda mfupi sana......yani nyeupe inabadilika kuwa nyeusi sekunde tu........na tukichukia....huna bahati.......ni sawa na tukipenda.......ila mimi nampenda my mtu chake na TANMO.........
Last edited by a moderator: