Habari zenu, nakuja tena wataalam mnaoweza kunisaidia, sitaki kuwachosha sana, kama kichwa cha habari, nimekuwa nikiota tena sana lakini nikiamka sikumbuki hata kitu kimoja nilichoota nimefuatilia nimeambiwa hivyo ni vifungo fanya kutafuta mtu ufungue haraka sana, nimeamini ni kweli maana hadi ugomvi na wife haushi, pesa zenyewe mara unapata kidogo au nyingi lakini ukipata haitoshi maana hapohapo imeshapata shida maana siyo matumizi, mfano mgonjwa au msiba.
Asanteni
"harakati za mchana zinasumbua ubongo"π€Potezea tu huenda unalala vibaya au harakati za mchana zinasumbua ubongo
Udi hupi zina majina yakeTumia udi.
Asante, kama nakuelewa vile!!!!Huyo mke wako atakuwa na walakini.
Kiufupi, kama kabla hujamuoa ulikuwa unaota ndoto na ukiamka unazikumbuka, basi tatizo la kusahaulishwa ndoto utakuwa unalo chumbani kwako.
Asante
Asante, ngoja nipambane kama nitaweza, ila umepotea sana hadi kutublock inbobo
πππ takucheki usijaliAsante
Asante, ngoja nipambane kama nitaweza, ila umepotea sana hadi kutublock inbobo