Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 5,846
- 13,109
You'll never walk aloneHappy Ole Sabaya Day..!!
Nimemfumania mpenzi wangu halafu SINGO MAZA.
Leo napokea simu ya mpenzi Ila sauti ya kiume..!!
Kuongea anasema ""niachane na mpenzi wake"".
Nikamuuliza "mmeanza lini huo upenzi?"
Nikajibiwa "ni miezi mi4 sasa"
Ila Mimi nimeanza nae tokea April/2019, nae akashangaa..!!!
Dah...
Mwanamke mwenyewe ni Singo maza.
Nilijitoa kwake Ila kumbe ni mgawa mbunye.
Haya bana mimi NIMEMWACHIA tu aendelee.
Halafu mtu anasema eti ""Singo maza wanajielewa..!!""
Tukiwa hit and run tunasemwa.
Tukitulia na kuwapenda WANAVIMBA KICHWA..!!
Bora nifate ushauri wa joka jeusi tuu...
Ngoja nitafute BIKRA NIOE.
#YNWA
Huyo mwanaume atakuwa ni yule aliyezaa naye (Baby daddy). Hakuna cha ajabu hapo
Happy Ole Sabaya Day..!!
Nimemfumania mpenzi wangu halafu SINGO MAZA.
Leo napokea simu ya mpenzi Ila sauti ya kiume..!!
Kuongea anasema ""niachane na mpenzi wake"".
Nikamuuliza "mmeanza lini huo upenzi?"
Nikajibiwa "ni miezi mi4 sasa"
Ila Mimi nimeanza nae tokea April/2019, nae akashangaa..!!!
Dah...
Mwanamke mwenyewe ni Singo maza.
Nilijitoa kwake Ila kumbe ni mgawa mbunye.
Haya bana mimi NIMEMWACHIA tu aendelee.
Halafu mtu anasema eti ""Singo maza wanajielewa..!!""
Tukiwa hit and run tunasemwa.
Tukitulia na kuwapenda WANAVIMBA KICHWA..!!
Bora nifate ushauri wa joka jeusi tuu...
Ngoja nitafute BIKRA NIOE.
#YNWA
Wana miezi mi4.Huyo mwanaume atakuwa ni yule aliyezaa naye (Baby daddy). Hakuna cha ajabu hapo
Jana tumetoa gundu kwa kumpiga mtu 4..!!You'll never walk alone
Hit and Run tuuu.Pole mkuu songa mbele kama injili
OhooooHit and Run tuuu.
Mapenzi ya kweli yapo Ahera huko.
Ngoja niendelee kuzisugua mbunye.
#YNWA
Sema ankoo. Eid njema ankooankoo
Pole.Single mother,wanaume mnaotuacha na watoto au mimba zenu hukumu mnayo.Wanawake tunadharaurika sana