Huo ni utabiri feki wa sheikh Yahaya. Ukienda kule jukwaa la siasa utashangaa zaidi kuona akina Msalani, Lizaboni, Faizafoxy, simiyu yetu, mwana diwani na wengine unaweza tabiri kuwa ni the same kwa pumba zao zinavofanana. Sisi tunafanana mitizamo yetu thabiti sio pumba.