kwenye red mkuu, nahisi umevaa msuli kitu kinapata upepo wa baharini!!!!Nimesikia kwa miaka mingi sasa maraisi wetu wakitoa msaada na salamu za mchele, mbuzi na mafuta ya kupikia kwa wenzetu wanaoishi kwenye mazingira magumu.
Jamani, hivi nyama ya mbuzi na wali mbona naona kama vinakinaisha? Pia Waswahili tunapenda wali kuku, je kwanini maraisi wetu wasiwe wanatoa makuku badala ya mbuzi?
Bado niko Mafia napunga upepo, nimewamiss sana.
Idd Mubaraq
<br /><font color="#FF0000"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">Ni Aibu kubwa sana kwa mkuu kwa Nchi kutoa vimbuzi na vimchele halafu anatangaza kwenye vyombo vya habari kwani huko ni kuwanyanyapaa watoto waishio ktk mazingira hatarishi - ITIFAKI IMEZINGATIWA</span></font></font><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/deadhorse.gif" border="0" alt="" title="Deadhorse" smilieid="162" class="inlineimg" />
<br />kwenye red mkuu, nahisi umevaa msuli kitu kinapata upepo wa baharini!!!!
Ni Aibu kubwa sana kwa mkuu kwa Nchi kutoa vimbuzi na vimchele halafu anatangaza kwenye vyombo vya habari kwani huko ni kuwanyanyapaa watoto waishio ktk mazingira hatarishi - ITIFAKI IMEZINGATIWA:deadhorse:
<br />
<br />
mwenzio kapelekwa huko na bwana jambajamba koromakoroma
vyo
Katika mambo yote yanayonihuzunisha hili ni mojawapo wa viongozi wa taiafa kutoa zawadi za wali na mbuzi; jamani ni haki kwa yatima na wasiojiwea kupewa social services na serikali yao na katika hilo hiyo package ya wali na mbuzi wakati wa sikukuu ni haki yao na wala si zawadi. Vipi wakuu wa nchi kuwapa watoto zawadi za kifamilia badala ya za kisera kama kuandaa policies nzuri zinazoweza ku cater for these needs? Ingekuwa kila ikifika hizo siku serikali inaboresha sera kwa kadiri uchumi unavyokuwa (kama wanavyotuambia uchumi wetu unakuwa) hiyo ingekuwa ni zawadi bora lakini mambo ya mbuzi na mchele kweli ni uzalilishaji wa hali ya juu kwa hawa minor citizen wa Tanzania.
Hata enzi za mababu zetu kulikuwa na sera nzuri tu za kuwatunza yatima na wajane kwa kuamuru mf. kaka mkubwa kurithi mke ama mtoto; ninyi mtasema eti ni mila potofu lakini kumbuka hakukuwa na watoto wa mitaani. Wenzetu walipo endelea waliboresha hizo sera na kutafuta mbadala lakini sisi tukawakabidhi mitaa kuwalea hao watoto wetu bora huku tukibugia pesa zao kibao wanazopewa na hao ambao angalau wanaoheshimu thamani ya mwandamu kwa kisingizio cha kuondoa mila potofu kumbe ni kujaza matumbo yetu yasiyojaa.
Nimesikia kwa miaka mingi sasa maraisi wetu wakitoa msaada na salamu za mchele, mbuzi na mafuta ya kupikia kwa wenzetu wanaoishi kwenye mazingira magumu.
Jamani, hivi nyama ya mbuzi na wali mbona naona kama vinakinaisha? Pia Waswahili tunapenda wali kuku, je kwanini maraisi wetu wasiwe wanatoa makuku badala ya mbuzi?
Bado niko Mafia napunga upepo, nimewamiss sana.
Idd Mubaraq
<br />Ame umenena vyema!<br />
<br />
Nahofia nikoongeza nitaharibu! We don't need favors, ahadi and the like! We need better policies, system and stratergies; kwani it is our kodi and we need to allow accountable uses of them! I hope sijaharibu sana!