Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Nimesikia kwa miaka mingi sasa maraisi wetu wakitoa msaada na salamu za mchele, mbuzi na mafuta ya kupikia kwa wenzetu wanaoishi kwenye mazingira magumu.
Jamani, hivi nyama ya mbuzi na wali mbona naona kama vinakinaisha? Pia Waswahili tunapenda wali kuku, je kwanini maraisi wetu wasiwe wanatoa makuku badala ya mbuzi?
Bado niko Mafia napunga upepo, nimewamiss sana.
Idd Mubaraq
Jamani, hivi nyama ya mbuzi na wali mbona naona kama vinakinaisha? Pia Waswahili tunapenda wali kuku, je kwanini maraisi wetu wasiwe wanatoa makuku badala ya mbuzi?
Bado niko Mafia napunga upepo, nimewamiss sana.
Idd Mubaraq