Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 8,805
- 8,717
Kumbe Jogging club zinazoanzishwa wa wingi hasa maeneo ya mjini zimekuwa platform ya kutongoza wanawakeee aiseee!!!.
Nimepita mahali nikakuta Kuna vijana wanamshawishi kijana mwenzao ajiunge Kwenye jogging club yao waliyoianzisha, Sasa Huyo mwenzao akauliza "wanawake wapo???"
Wakamjibu Wewe njoo wanawake watakuja tena wenye Hela duuh!!! Nikajiuliza inamaana jogging haina lengo kuhamasisha watu kufanya mazoezi kumbe siyo??
Ina maana siku hizi vijana hatujui kutongoza?? Mbonaa naona kama siku hizi ni rahisi sana ukipewa mamba tu unamaliza kazi auuu kuna la ziaada?
Kweli ukiambiwa kuna fursa ujue fursa ni Wewe!.
Nimepita mahali nikakuta Kuna vijana wanamshawishi kijana mwenzao ajiunge Kwenye jogging club yao waliyoianzisha, Sasa Huyo mwenzao akauliza "wanawake wapo???"
Wakamjibu Wewe njoo wanawake watakuja tena wenye Hela duuh!!! Nikajiuliza inamaana jogging haina lengo kuhamasisha watu kufanya mazoezi kumbe siyo??
Ina maana siku hizi vijana hatujui kutongoza?? Mbonaa naona kama siku hizi ni rahisi sana ukipewa mamba tu unamaliza kazi auuu kuna la ziaada?
Kweli ukiambiwa kuna fursa ujue fursa ni Wewe!.