MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kwa wale ambao tumekuwa tukifuatilia mjadala wa Bunge asubuhi hii mtakubaliana na mimi kwamba Lukuvi ni tabularaza wa kujitakia kwa kutoweza kuielewa mchango wa mchungaji Msigwa(mbunge CDM Iringa Mjini). Msigwa alisema waziri mkuu alikuja na ndege mbili na msafara wa magari 50 na barabara zilifungwa kwa masaa 4 na kuzuia magari yanayotoka Dar, Moro, na Mbeya kuingia Iringa.
Yeye Lukuvu au ILUVI akageuza hoja na kuomba mwongozo wa spika na ku-edit hoja ya msigwa na kusema ifuatavyo" Mbunge amedanganya na atueleze inakuwaje waziri mkuu anapanda ndege mbili kwa mpigo kuja Iringa na pia Mbunge atueleze ni lini Waziri mkuu alikuja Iringa barabara zikafungwa huko Dar, Morogoro, Mbeya na huku Iringa". sasa hii ni kutabulazara au uzushi au kumvumishia Mbunge tu kwa sababu anatoka Upinzani. Hivi Lukuvi kwa namna hii tuseme kichwani ana ubongo au sifongo kwani ujinga alio- comment kwa mtu wa kada yake umemdhalilisha.
SENDEKA yule shujaa wa zamani naye naona anazeeka vibaya kwa kutaka kuviza analysis za watu wanaolinganisha muda tuliopata uhuru wa miaka 50 na kiwango cha maendeleo tulicho nacho. Yeye anasema eti mtu kulinganisha nchi hii na mtoto mdogo eti ni kutukana na kuudhi!!!!. Akili zake za kipori hazitaki kuweleza kwanini kila mtu anaweza kuelezea ktu kilekile kwa mtazamo tofauti.
Anachotaka anataka watu wote waelezee mafanikio ya uhuru wa nchi yetu kwa mtazamo wa CCM au akili yake. Huu ni ujinga kwa sababu kuna watu hawakuwahi ona tofauti ya TZ kabla na baada ya uhuru. SENDEKA asilazimishe watu kusema uongo ili tu kuishabikia CCM.
Analysis ya kila mtu kuhusu kiwango cha maendeleo ya hii nchi tangu uhuru inatofautiana kwa kila mtu utakayemwuuliza na hata mifano itakayotolewa itatofautiana. Aliyetoa mfano wa mtu wa miaka 50 anafanya mambo ya stage ya mtoto mdogo hajakosea kabisa kwani hiyo ndo analysis yake.
Wao ni Tabularaza wa kuelewa au kwa makusudi au kwa kukosa ufahamu wa jinsi maendeleo ya nchi yetu hayafanani na nchi iliyopata uhuru mwaka 1961. Kama nabisha akafananishe TZ na nchi nyingine.
Yeye Lukuvu au ILUVI akageuza hoja na kuomba mwongozo wa spika na ku-edit hoja ya msigwa na kusema ifuatavyo" Mbunge amedanganya na atueleze inakuwaje waziri mkuu anapanda ndege mbili kwa mpigo kuja Iringa na pia Mbunge atueleze ni lini Waziri mkuu alikuja Iringa barabara zikafungwa huko Dar, Morogoro, Mbeya na huku Iringa". sasa hii ni kutabulazara au uzushi au kumvumishia Mbunge tu kwa sababu anatoka Upinzani. Hivi Lukuvi kwa namna hii tuseme kichwani ana ubongo au sifongo kwani ujinga alio- comment kwa mtu wa kada yake umemdhalilisha.
SENDEKA yule shujaa wa zamani naye naona anazeeka vibaya kwa kutaka kuviza analysis za watu wanaolinganisha muda tuliopata uhuru wa miaka 50 na kiwango cha maendeleo tulicho nacho. Yeye anasema eti mtu kulinganisha nchi hii na mtoto mdogo eti ni kutukana na kuudhi!!!!. Akili zake za kipori hazitaki kuweleza kwanini kila mtu anaweza kuelezea ktu kilekile kwa mtazamo tofauti.
Anachotaka anataka watu wote waelezee mafanikio ya uhuru wa nchi yetu kwa mtazamo wa CCM au akili yake. Huu ni ujinga kwa sababu kuna watu hawakuwahi ona tofauti ya TZ kabla na baada ya uhuru. SENDEKA asilazimishe watu kusema uongo ili tu kuishabikia CCM.
Analysis ya kila mtu kuhusu kiwango cha maendeleo ya hii nchi tangu uhuru inatofautiana kwa kila mtu utakayemwuuliza na hata mifano itakayotolewa itatofautiana. Aliyetoa mfano wa mtu wa miaka 50 anafanya mambo ya stage ya mtoto mdogo hajakosea kabisa kwani hiyo ndo analysis yake.
Wao ni Tabularaza wa kuelewa au kwa makusudi au kwa kukosa ufahamu wa jinsi maendeleo ya nchi yetu hayafanani na nchi iliyopata uhuru mwaka 1961. Kama nabisha akafananishe TZ na nchi nyingine.